• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MHE . JENISTA MHAGAMA AZINDUA MADARASA 27 NA VYOO MATUNDU 44, SONGEA DC

Tarehe ya Kuwekwa: March 16th, 2025



Mbunge wa Jimbo la Peramiho ambaye pia ni Waziri wa Afya. Mhe. Jenista Mhagama amezindua Vyumba 17 vya madarasa na vyoo Matundu 25, katika Shule ya Sekondari Mpitimbi,  pamoja Vyumba 10 vya madarasa na matundu ya vyoo 19 katika Shule ya Sekondari Jenista Mhagama.


Katika ziara hiyo, Mhe. Jenista aliambatana na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Songea, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea pamoja na Timu ya Watalam kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Songea.


Akisoma taarifa, Mkuu wa Shule ya Mpitimbi alisema “ Shule ilipokea kiasi cha Tshs 452,000,000/= kwa ajiri ya kujenga madarasa mapya 17,  na Matundi 25 ya vyoo, ambapo hadi sasa mradi huo umekamilika kwa 100% na tayari wanafunzi wameanza kuyatumia


Aidha Mkuu wa Shule ya Sekondari Jenista Mhagama, alisema “Shule imepokea kias cha Tsh. 273,000,000/= kutoka Serikali kuu kwa ajili ya Ujenzi wa Madarasa 10, na Vyoo matundu 19 na yameanza kutumika


Mhe. Jenista amefanya uzinduzi huo jana Machi 16,2025 katika Kata ya Mpitimbi na Parangu, akiwa kwenye ziara yake katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea ikiwa ni muendelezo wa ziara za kukagua Miradi ya maendelea katika Jimbo lake lakini pia kuzungumza na wananchi.


Akiwa kwenye Ziara hiyo, Mhe Mbunge alifikisha salam za Upendo kutoka kwa Mhe. Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa wananchi wa Songea, na kuwashukuru kwa heshima waliyompa ya kusaidiana nae katika kuleta Maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI 28 VAPATIWA MIKOPO YA TSH MILIONI 249 NA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    July 03, 2025
  • ZAIDI YA MILIONI 600 ZIMETUMIKA KUJENGA STEND YA KISASA PERAMIHO

    July 01, 2025
  • Ujenzi wa Mradi wa Barabara Likuyufusi–Mkenda ni fursa mpya ya Maendeleo ya Songea Dc.

    June 20, 2025
  • WASIMAMIZI WA MIRADI WASISITIZWA KUZINGATIA UADILIFU NA UFANISI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MAENDELEO SONGEA DC

    June 19, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa