• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Mbegu za muhogo

Tarehe ya Kuwekwa: March 22nd, 2018

MBEGU ZA MUHOGO

Wakulima wa Halmashauri ya Wilaya yaSongea wamehizwa kuchangamkia fursa ya kupanda mbegu ya muhogo au vipando kwa lengo la kupata mbegu ya msingi zitakazozalisha zao muhogo

Hayo yamesemwa na BI HELENI KIOZYA kutoka Taasisi ya Utafiti wa mazao ya Mizizi Kibaha Mkoani Pwani na BI LINDA MALULI  kutoka shirika lisililokuwa la kiserikali la MEDA(Menonite Ecomic Development Association)   katika mafunzo  elekezi ya kuwatambua wakulima watakaokidhi vigezo vya kupanda mbegu ya zao muhogo kwa Waheshimiwa madiwani na wataalam wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea yaliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya  hivi karibuni.

Bi Kiozya amewahimiza wakulima kuchangamkia fursa kupanda mbegu za zao la mihogo kama moja ya zao la biashara ambalo litasaidia kuinua uchumi wao kutokana na viwanda vya kusindika mihogo kuhitaji mihogo kusindika na kuzalisha bidhaa mbalimbali licha ya kuzalisha kama zao la chakula.

Amesema baada ya kuwatambua wakulima watakao panda mbegu za zao la mhogo kila mkulima atatakiwa kuwa na ekari 4 kwa kuanzia,ambapo kila ekari moja atapanda mbegu 4000 baada ya kukuza mkulima atauza kila mbegu moja shilingi 200 kwa watakao hitaji mbegu,na baada ya miaka mitatu mkulima ataanza kuvuna mihogo tayari kwa chakula.

Mahali au sehemu inayotakiwa kulimwa na kupanda mbegu ya zao la muhogo haitakiwa kuwa karibu na mashamba mengine ya zao la muhogo  kwa lengo la kuepuka magonjwa  yanayoshambulia mihogo kama vile bato bato na kumsababishia hasara mkulima

Mbegu zitakazo tolewa kwa wakulima nizile zilizo fanyiwa utafiti  na Taasisi za Serikali kutoka Naliendelee Mkoani Mtwara,Kibaha Mkoani  Pwani na Uyole Mkoani Mbeya na mbegu ambazo zimethibika kuwa na ubora ni  aina ya kiroba,Mkuranga, kizimbani,Chereko na Kipusa ambazo hustamili magonjwa ya mihigo.

Zao la mhogo hustawi vizuri Zaidi katika kata zote 16 za Halmaashaauri ya Wilaya ya Songea kufuatia hali ya hewa mchanganyiko

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa