• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Marufuuku kuanzisha shule shikizi

Tarehe ya Kuwekwa: October 15th, 2018

Marufuku wananchi kuanzisha shule shikizi kiholela

Agizo hilo limetollewa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mh Christine Mndeme kakika kikao maalumu cha baraza la madiwani kilicho fanyika hivi karibuni katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea.

 Mh Mndeme amesema marufuku wananchi kuanzisha shule shikizi kiholela kwasababu zimekuwa zikianzishwa bila utaratibu unaotakiwa kufuatwa na kusabisha adha ya ukamisha wa shule hizo kwakuwa srikali inatekeleza mipango yake kulingana na bajeti.

Mndeme amewataka madiwani kusimamia na kuhakikisha shule shikzi hazianzishwi kiholela na pasipo sababu yoyote msingi na endapo itatakiwa  huduma ya shule utatakiwa  ufuatwe utaratibu wa kujenga shule na sio shule shikizi,na diwani atakae husika na swala hilo jukukumu la kukamilisha ujenzi na utoaji wa huduma litakuwa juu yake.

Shule shikizi zimekuwa zikianzishwa kufuatia wananchi kuhama makazi yao awali na kuhamia mashambani kwa lengo la kutafuta maeneo ya kulima jambolo ambalo ni gumu kufikiwa na huduma za kijamii kwa wakati badala yake waanzishe makazi ya kudumu sambamba na ujenzi wa vyumba bora ambazo zitasaidia kuondoa tatizo la kuhama hama na kupatiwa huduma za jamii kwa urahisi.

Halmashauri ya Wilaya ya Songea ina shule shikizi nane ambazo ni Lunyele,Jenista, Selekano,Mbolongo,mingine ni Luhuhu,Ulamboni Maleta na Mwimbasi huku shule za msingi zikiwa 69.

Ameongeza kwakusema miradi yote iliyo ibuliwa na wananchi,Halmashauri iunge mkono nguvu za wananchi hao kwakuyakamilisha na yaanze kutoa huduma wanazozihitaji,kwakuwa miradi ya maendeleo hutoa fursa za kiuchumi kwa wananchi  

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI 28 VAPATIWA MIKOPO YA TSH MILIONI 249 NA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    July 03, 2025
  • ZAIDI YA MILIONI 600 ZIMETUMIKA KUJENGA STEND YA KISASA PERAMIHO

    July 01, 2025
  • Ujenzi wa Mradi wa Barabara Likuyufusi–Mkenda ni fursa mpya ya Maendeleo ya Songea Dc.

    June 20, 2025
  • WASIMAMIZI WA MIRADI WASISITIZWA KUZINGATIA UADILIFU NA UFANISI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MAENDELEO SONGEA DC

    June 19, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa