• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MAADHIMISHO ya miaka 61 ya Uhuru Wilayani Songea.

Tarehe ya Kuwekwa: December 10th, 2022

WILAYA ya Songea imefanya  maadhimisho ya Miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania Bara katika ukumbi wa Manispaa ya Songea.

Maadhimisho hayo yaliudhuriwa na Viongozi, Taasisi mbalimbali, watumishi wa Halmashauri za Wilaya ya Songea na Wageni kutoka Zanzibar.

Akizungumza Mgeni Rasmi Mkuu wa Wilaya ya Songea Mheshimiwa Pololet Kamando Mgema ambae amewakilishwa na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea Mheshimiwa Michael Mbano amewahasa Wananchi kila mmoja kwa nafasi yake aweze kulinda Uhuru wake kwani ni jukumu la kila mtu.

‘’ Ndugu zangu tumekutana hapa ili tuweze kufanya tafakari, tafakari ambayo itatuonyesha wapi tumetoka, wapi tulipo na tunatamani twende wapi’’, amesisitiza Mheshimiwa Mbano.

Aidha, Mheshimiwa Mbano amesema Uhuru unalindwa kwa kufanya kazi hivyo matatizo yanayowapata Watanzania yanapaswa kutatuliwa na Watanzania wenyewe hata hivyo ameongeza Watanzania wahimizane kwenye swala zima la Uzalendo kwaajili ya maendeleo ya Taifa.

Kwaupande wake Katibu Tawala wa Wilaya ya Songea Ndugu Pendo Daniel ameelezea maudhui ya maadhimisho hayo amesema Nchi ya Tanzania ilikua ni koroni la Waingereza hivyo tarehe 9 Desemba 1961 ndipo Uhuru ulipatikana.

‘’Hivyo kabla ya Uhuru Waingereza waliifanya Tanganyika kama sehemu ya kupata Malighafi lakini hakuweka miundombinu ya kutosha na miundombinu michache waliyoiweka ilikua kwa lengo la kuwasaidia wao kusafirisha malighafi hizo’’, amesema Ndugu Pendo.

Ndugu Pendo ameongeza kuwa maadhimisho hayo yamelenga kuwajengea wananchi wa Wilaya ya Songea Uzalendo ili kujua nini Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imefanya kwa miaka 61 ya Uhuru.   

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa