• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

LISHE ni kichocheo cha maendeleo

Tarehe ya Kuwekwa: December 28th, 2019


Lishe ni kichocheo cha maendeleo kufikia uchumi wa kati wa viwanda hivyo swala la lishe katika jamii liwekewe mkazo ilikuepuka madhara makubwa yatokanayo na ukosefu wa lishe ambayo ni udumavu unaopelekea kuathiri uchumi wa familia na Taifa

Hayo ameyasema Mkuu wa wilaya ya Songea Pololeti Mgema wakati akifungua kikao cha lishe kilichofanyika hivi karibuni katika ukumbi  wa Mkuu wa Wilaya ya Songea.

Mhe Mgema amesema swala la lishe nikichocheo cha maendeleo hivyo litiliwe mkazo kuanzia ngazi ya familia hadi Taifa lengo  kuepuka madhara makubwa yatokanayo na ukosefu wa lishe ambayo ni udumavu ,ulemavu kama vile upofu,na kusababisha vifo.

Fatma Mwasola ambaye ni  Afisa Lishe Mtafiti kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe (TFNC) amesema Tanzania inaongoza kwa kuwa na  idadi kubwa ya wototo wenye udumavu kwa asilimia 31.8 nakujifungua watoto chini ya uzito pungufu wa kilo2.5 unaosababishwa na lishe duni ,mazingira machafu kama vile vyoo,mgawanyo mbaya wa rasilimali na mila potofu.

Mwasora amesema ni vema wadau mbalimbali wa lishe wakafanya lishe ni agenda ya maendeleoo katika jamii na Taifa kwasababu ya kuokoa vifo vya watoto, kina mamawajawazito,kuokoa fedha ambazo Serikali inagharamia kununua vifaa tiba na  dawa kama vile chakula Lishe, jamii kutumia muda mwingi kuhudumia wagonjwa badala ya kufanya shughuli za kiuchumi ambazo zitatupelekea kufikia uchumi wa kati wa viwanda.

Ameongeza kwa kusema udumavu huanzia tumboni kwasababu  mbalimbali kamavile ukosefu wa kingamwili,lishe duni,ukosefu wa makundi mchanganyiko ya vyakula sababu nyingine ni wajawazito kutomeza dawa za kuongeza damu kwa wakati na madini ya kalishamu pamoja na madini joto.

Matumizi ya chumvi hasa yamawe ambayo haina madini joto ni hatari kwasababu ni chanzo kikubwa cha udumavu,kuzaa moto njiti,uzito pungufu chini ya kilo 2.5, na watoto wenye  mtindio wa ubongo.

“Tuwekeze katika lishe kufikia dira ya maendeleo kufikia uchumi wakati”alisema Mwasora.

Aidha Mkoa wa Ruvuma unaasilimia 41 yatatizo la udumavu na tatizo la kujifungua watoto chini ya kilo 2.5 asilimia 11 tatizo ambalo linatakiwa kuwekewa mikakati ya kulipunguza au kulimaliza.

JACQUELEN CLAVERY-AFISA HABARI

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa