• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Kuitwa kaya masikini basi

Tarehe ya Kuwekwa: April 11th, 2019

 Kuitwa kaya masikini basi baada ya kusaidiwa na TASAF

Hayo yamesemwa na baadhi ya walengwa wanao nufaika na mfuko wa kunusuru ka masikini nchini TASAF wakati walipotembelewa na mratibu wa  wa mfuko wa kunusuru kaya masiki wa halmashauri ya wilaya songea mkoani Ruvuma hivi karibuni.

Yosefa Honde na Agnela Magimba ni miongoni mwa walengwa wanaonufaika na mfuko wa TASAF wanasema kw nyakati tofauti wao sio kaya masikini ukilinganisha na changaoto za maisha walizopitia ukilinganisha na maisha yao wanayoishi sasa.

“Tangu nizaliwa mwaka 1963 sijawahi kulala nyumba ya bati ila kwa msaada wa TASAF nalala nyumba ya bati,”alisema bibi Yosefa Honde mkazi wa kijiji cha matimira kata ya Matimira katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea.

Amesema tangu aingizwe kwenye mpango mwaka 2015 amekuwa akiweka akiba kidogo kidogo hatimaye fedha hizo zimemwezesha kujenga nyumba ya bati na kuanzisha shamba la matunda lenye ukubwa wa hekali mbili na matunda hayo amesha anza kuuza sokoni nakujipatia kipato ambacho kinamwezesha kujikimu kimaisha pamoja na familia yake.

Matunda aliyolima ni matango,malimau, machungwa, machenza na ufugaji wa kuku wakienyeji.Pia anatoa wito kwa walengwa wanzake kuiheshimu pesa wanayosaidiwa kwakuanzisha miradi midogo midogo ambayo itawasaidia kupunguza umasikini wa kipato katika familia zao.

Agnela Mgimba ni mkazi wa Halmashauri ya Madama ametelekekezwa na mume wake zaidi ya miaka 8,baada yakutelekezwa alipata changamoto kubwa ya kuwalea watoto wake watano kwa kuwapa mahitaji yote ya msingi yakiwemo chakula ,mavazi na malazi.

Mara baada ya kuingizwa kwenye mpango wa kunusuru kaya masikini mwaka 2015 kutokana kiasi cha fedha anachopata ameweza kujenga nyumba ya tofari na kupaua bati kuanzisha shamba la mbogamboga na matunda pamoja na mradi wa kufuga kuku wakienyeji na nguruwe ambayo yanauwezesha kumudu gharama za maisha na kuwasomesha watoto wake ambao wanasoma sekondari.

Anasema haelewi mume wake alipo anachoweza kusema ni asante kwa serikali kwakuwasaidi kupitia TASAFU na endapo mradi TASAF utakwisha anauwezo wa kumudu changamoto za maisha.

JACQUELEN CLAVERY –TEHAMA-HABARI

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa