• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Kituo cha Afya Muhukuru cha anza huduma za upasuaji

Tarehe ya Kuwekwa: April 5th, 2020

Kituo cha Afya Muhukuru Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma cha anza kutoa huduma za upasuaji kwa wagonjwa

Kaimu Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Dkt Geofrey Kihaule ameyasema hayo wakati akizundua rasmi zoezi la upasuaji lililofanyika hivi karibuni kituoni hapo.

Amesema huduma za upasuaji zimeanza rasmi Kituoni hapo hivyo wananchi wenye matatizo ya upasuaji wafike katika kituo hicho kwa ajili ya kupata haduma badala ya kusumbuka kutembea umbali wa zaidi ya kilomita 100 kufuata huduma hizo katika Hositali ya Mkoa na Peramiho

Dkt Kihaule amewataka wananchi kuondoa hofu kuhusu huduma hiyo kwasababu tayari madaktari na vifaa tiba vipo, changomoto ni upungufu wa vitanda kwasababu za kijiografia ya Tarafa ya Muhukuru wanatarajia kupata wagonjwa wengi wenye uhitaji kuliko vitanda vilivyopo vya kuwalaza wagonjwa.

Ameyataja magonjwa ambayo yanayofanyiwa upasuaji nipamoja na akinamama wajawazito wenye matatizo ya uzazi,ngiri  mabusha na magonjwa mengine yanohitaji upasuaji.

Amesema tayari wamefanikiwa kupasua wagonjwa watatu wa mabusha ambao walikuwa wkisumbuliwa kwa muda mrefu na mama mmoja mjamzito aliyekuwa na matatizo ya uzazi.

Baadhi ya wananchi wameishiukuru Serikali ya awamu ya tano kwa hatua ya kuboresha Vituo vya kutolea huduma ya Afya ikiwa ni pamoja na kuanzisha rasmi huduma ya upasuaji kwa akina mama wajawazito na magonjwa mengine katika kituo cha Afya cha Mhukuru.

Wananchi hao wamesema kuwa kabla ya huduma hiyo kuanza kutolewa walikuwa wanalazimika kutembea umbali zaidi ya kilomita 100 kwenda Hosptitali ya Rufaa ya Mkoa kufuata huduma ya upasuaji jambo ambalo limesababisha baadhi ya wagonjwa kupoteza maisha kabla ya kupatiwa huduma, huku Halmashauri ikiingia gharama kubwa kusafirisha wagonjwa.

Naye Diwani wa kata ya Mhukuru Lilahi Simon Kapinga amesema kuwa uwepo wa huduma hiyo utasaidia kupunguza vifo kwa akina mama wajawazito wenye uzazi pingamizi pamoja na watoto wadogo ambao ndiyo wahanga wakubwa na kupunguza gharama kwa serikali na wagonjwa.

Kapinga amesema kutokana na ubovu wa barabara gari la wagonjwa wakati mwingine lilishindwa kumfikisha mgonjwa Hospitali kwa wakati hivyo hatari ya kifo ilitawala zaidi kwa sasa wagonjwa wengi watahudumiwa kwenye kituo chao kwa wakati.

Halmshauri ya Wilaya ya Songea ina jumla ya vituo vya Afya vitano,Hospitali ya Wilaya moja ambayo haijaanza kutoa huduma hata hivyo wilaya hiyo kuna Hospitali ya Misheni ya Peramiho ambayo wananchi wengi wanatumia Hospitali hiyo kupata huduma ya Afya kama Hospitali ya Rufaa.

JACQUELEN CLAVERY

AFISA HABARI

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, KARIBU RUVUMA UJIO WAKO NI MUHIMU KWA MASLAHI YA SONGEA DC

    July 27, 2025
  • MFUMO WA NeST UMEBORESHA UWAZI NA UWAJIBIKAJI KATIKA MANUNUZI YA UMMA

    July 21, 2025
  • VIKUNDI 28 VAPATIWA MIKOPO YA TSH MILIONI 249 NA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    July 03, 2025
  • ZAIDI YA MILIONI 600 ZIMETUMIKA KUJENGA STEND YA KISASA PERAMIHO

    July 01, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa