• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

KIKAO CHA TATHMINI YA ELIMU SONGEA DC CHAKEMEA UTORO KWA WALIMU

Tarehe ya Kuwekwa: December 5th, 2024

Kikao cha Tathmin ya Elimu Halmashauri ya Wilaya ya Songea, kilichofanyika tarehe 4/12/2024 katika ukumbi wa Jenista Mgahama kimesisitiza Walimu kujituma zaid katika kutimiza majukum yao


Kikao hicho kilichoongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Songea Mhe. Kapenjama Ndile, ambapo pamoja naye, alikuwepo pia Kaimu Afisa Elimu Mkoa, Mwenyekiti wa Halmashauri, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri, Maafiisa Elimu kata, Wakuu wa Shule za Msingi na Sekondari.


 lengo la kikao hicho ni kujitathmini baada ya kutoka kwa matokeo ya Darasa la Saba, ili kuangalia wapi wameanguka na wapoi wapo imara ili kujiweka sawa kwa ajili ya mwaka ujao.

“ Tumeamua kufanya tathmini ya matokeo tuliyonayo mkononi na kuangalia miaka miwili iliyopita ili kujitathmini kuona wap tunafanya vizur na wapi hatufanyi vizuri na njia gani zitumike kwa mwaka ujao” Elizabeth Gumbo, Mkurugenzi Songea Dc


Mkuu wa Wilaya ya Songea pamoja na mambo mengine, aliwataka walimu kuhakikisha sio tu wanazingatia ufaulu, lakini pia wajikite katika kumsaidia mwanafunzi kupata ujuzi ambao utamsaidia kubadili maisha anayoishi.

“ Lengo kubwa la Elimu si tu kufaulu mitihani, bali lengo ni kumfanya mwanadamu abadili maisha anayoishi ili yawe mazingira rafiki zaidi kwa kuishi”

Hata hivyo walimu walikumbushwa kutokufanya shughuli binafsi kwenye muda wa kazi, kuheshimu kazi yao na kuhakikisha wanatengeneza mazingira rafiki kati yao na wanafunzi ili kurahisisha uelew kwa wananfunzi


“ Wapo baadhi ya Walimu hutumia muda wa kazi kufanya shughuli zao, na wengi wamekua wakienda shamba muda wa kazi, huu ni utoro na kama tutaundekeza tutashindwa kufikia malengo yetu kwa ajili ya walimu wachache, hilo pia hatutolikubali”


Tathmini ya Elimu imekua ikifanyika mala kwa mala lebgo ikiwa ni kujitathmini na kuendelea kuweka nguvu kwenye mapungufu yanayojitokeza.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa