• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

KAYA MASIKINI ELFU MOJA MIA NNE HAMSINI NA TANO ( 1455) ZA WANUFAIKA WA TASAF ZAHIMITU BAADA YA KUNUFAIKA KWA MIAKA KUMI

Tarehe ya Kuwekwa: July 5th, 2024


Kaya Maskini Elfu moja mia nne hamsini na tano ( 1455) zilizoko Halmasahuri ya Wilaya ya Songea ambazo zilikua zikinufaika na Mfuko wa maendeleo ya jamii, TASAF zimehitimu baada ya kunufaika kwa miaka zaidi ya tisa ( 9), wakilipwa fedha na Serikali.

Mratibu wa TASAF Halmashauri ya Wilaya ya Songea Bi Hosana Ngunge, amewapongeza kaya zilizohitimu kwa kuweza kutumia fedha zao vizuri na kujikuta wameweza kuimalika kiuchumi hivyo kuwaachia wengine nao wanufaike na Fedha hizo ambazo Serikali hutoa kusaidia kaya Maskini.

“ Niwapongeze sana, nimetembelea kaya zenu, nimeona namna ambavyo mmetumia fulsa vizuri kwa kujiendeleza na sasa mmeweza kujitegemea. Ni hatua kubwa na inatia moyo. Kwa hiki mlichofanya sasa mmeweza kuacha nafasi kwa kaya nyingine kuendelea kunufaika kama ambavyo ninyi mmekua mkinufaika.

Nimeona pia wengi wenu mmeweza kuwekeza kwenye ufugaji, nimeona mbuzi, Nguruwe kuku lakini pia nimeona wengine mlikua mnaishi kwenye nyumba za nyasi lakini leo mmeweza kujenga nyumba zenu wenye hili ni jambo kubwa sana mnapasa kumshukuru sana Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Nani kama Mama Samia?

Bi Mwana Issa Milanzi ni mmjowa wa waliohitimu baada ya kunufaika kwa miaka kumi tangu 2015, amesema “ Niwashukuru sana TASAF kwa  kweli, nilikua nakaa kwenye nyumba ya nyasi inavuja kipindi cha Mvua, ila kwa sasa nimeweza jenga nyumba yangu ya Tofari na nimeweka bati, ninaaman kwa sasa hata mvua inyeshe. Nimeweza kufuga mifugo yangu nina mbuzi watano ambao nilianza kidogo na sasa wamefikia idadi hiyo. Naishukuru sana Serikali imenikwamua.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa