• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Kamati ya siasa ya Mkoa wa Ruvuma imeridhishwa na utekelezaji wa miradi ya Maendeleo

Tarehe ya Kuwekwa: August 20th, 2019

Kamati ya siasa ya Mkoa wa Ruvuma imeridhishwa na utekelezaji wa miradi

Kamati ya siasa ya Makoa wa Ruvuma imeridhishwa na utekelezaji wa ujenzi wa  miradi mbalimbali katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma

Mwenyekiti wa ccm wa Mkoa wa Ruvuma ODDO MWISHO ameyasema hayo wakati  wa  ukaguzi wa miradi mbalimbali inayotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea uliofanyaki hivi karibuni  na kamati ya siasa ya Mkoa wa Ruvuma .

Mwisho amesema kamati imeridhishwa na mwenendo wa utekelezaji wa miradi hiyo  na kuhimiza baadhi ya miradi isiyokamilika  ikamilishwe kwa haraka ili wananchi waanze kupata huduma kulingana na huduma iliyolengwa kutolewa katika mradi husika.

Mjumbe wa kamati kuu ya siasa Taifa Mussa Homera ameshauri wataalamu kufanya usimamizi wa pamoja katika utekelezaji wa miradi badala ya kuachia idara husika tu kusimamia mradi.

Wananchi wanaendelea kuishukuru serikali yao kwa utekelezaji wa miradi na upatikanaji wa  huduma kwa wepesi na karibu tofauti na awali ambapo walilazimika kufuata huduma hizo kwa umbali mrefu kama vile huduma za Afya, Elimu na huduma nyingine za kijamii.

Kamati hiyo ilifanikiwa kutembelea Zahanati ya Lugagara kata ya Kilagano, ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya Sekondari Litapwasi kata ya Litapwa ambavyo vimekamilika kwa asilimia mia moja na vimeanza kutumika ,ujenzi wa Hospitali ya Wilaya inayojengwa katika kijiji cha Mpitimbi (B) kata ya Mpitimbi ambao umekamilika kwa asilimia 85 miradi mingine ni kituo cha Afya Muhukulu Lilahi ambacho kimekamilika kwa asilimia 90, Chuo cha maendeleo ya Wananchi Muhukulu na ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa vya shule shikizi ya Maleta kata ya Ndongosi.

JACQUELEN CLAVERY-K/AFISA HABARI.

SONGEA DC

20 /08 /2019.   

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa