• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

JAMII tunzeni siri za mila,tamaduni na desturi za makabila

Tarehe ya Kuwekwa: December 11th, 2018

JAMII tunzeni siri za,tamaduni,mila na desturi za makabila

Kauli hiyo ameisema Romward Shawa mzee maarufu wa kabila la wangoni anayeishi katika  kata ya Maposeni kijiji cha Maposeni mtaa wa Ndilima.

Mzee Shawa amesema jamii itunze siri za mila,tamaduni na desturi za makabila ili kulinda maadili na kujiepusha na madhara yanayosababishwa na ukiukaji  wa maadili  katika jamii kama vile mimba za utotoni,ongezeko la watoto wanaishi katika mazingira magumu,magonjwa uvunjifu  wa amani hata vifo.

Amesema watoto wanatakiwa kupewa mafunzo ya stadi za maisha pale wanapotakiwa kupewa mafunzo hayo,kupatiwa mafunzo katika umri ambao haustahili ni sawa na ukiukaji wa maadili na kusababisha madhara kwa jamii inayo husika.

Bi Teodosia Komba anatoa ushauri kwa jamii kuendelea kudumisha mila na desturi zetu ambazo zinalinda maadili ya nchi  na kusoma historia za vizazi vilivyotangulia ili wananchi wajue mila tamaduni na desturi za makabila yao mfano kabila la wangoni moja ya mila yake ni wanawake na wanaume kuishi mazingira tofauti akinamama uani na akinababa kibarazani hata kwenye upande wa kuzikwa.

Amesema swala la utandawazi likitumika kwa makusudi yalikusudiwa halina madhara kwasababu unasaidia kutuelimisha na sio lazima kuiga mila na tamaduni za kigeni ambazo zinavunja maadili ya Kitanzania.

 Bw Shawa amesema jamii iendeleze mila na desturi ambazo zinajenga maadili mazuri ambayo yanasaidia kudumisha amani, upendo na mshikamano kuanzia ngazi ya familia hadi Taifa, Jambo ambalo linaleta utengamano na kuondoa migogoro pamoja na kujenga kizazi chenye heshima.

Bw Shawa amesema jamii iendeleze mila na desturi ambazo zinajenga maadili mazuri ambayo yanasaidia kudumisha amani, upendo na mshikamano kuanzia ngazi ya familia hadi Taifa, Jambo ambalo linaleta utengamano na kuondoa migogoro pamoja na kujenga kizazi chenye heshima.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KULA YAMEANZA SONGEA DC

    April 29, 2025
  • MHE . JENISTA MHAGAMA AZINDUA MADARASA 27 NA VYOO MATUNDU 44, SONGEA DC

    March 16, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa