• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

JAMII imetakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya nyama za mizoga

Tarehe ya Kuwekwa: October 15th, 2020


Jamii imeshuriwa kuchukua tahadhari na kuzingatia kanuni taratibu na sheria inayozuia kula mizoga au nyama isiyokaguliwa na wataalam wa mifugo ili kijikinga na magonjwa ya milipuko na kuepuka gharama za kutibu magonjwa hayo

Ushauri huo umetolewa na Afisa Mifugo na Uvuvi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Dr Erick Kahise hivi karibuni ofisini kwake

Dr Kahise amesema kutozingtia sheria kanuni na taratibu ni chanzo cha kupata magonjwa ya milipuko na kusambaa kwa magonjwa hayo katika jamii mbayo yanatoka kwa Wanyama kwenda kwa binadamu.

Dr Kahise ametaja mfano wa magonjwa ambayo yanaweza kulipuka  kuwa ni minyoo ya nguruwe ambayo hukaa ndani ya ubongo kwa muda mrefu na kusababisha kifafa,kutupa mimba kwa ng’ombe ambao binadamu anaweza kupata na dalili zake zinafanana na za malaria,kunywa maziwa mabicha ambayo yametokana na ngonmbe mwenye vimelea vya TB (micobacterium bovis).

Ameongeza kwakusema kuishi na wanyama ndani ya nyumba moja na kuacha mifugo kuzurula ovyo kama mbwa ni hatari kwa afya ya binadamu kwasababu nao husambaza magojwa kama kichaa cha mbwa ambacho kinaonekana kuwa tishio kwa uhai na ustawi wa binadamu utitiri ,viroboto na chawa  ambayo husambazwa na kuku.

“Jamii ibadilike panapotokea tatizo la ugonjwa kwa mnyama naakafa waache kukimbilia kula nyama bali watoea taarifa kwa mamlaka husika ili taratibu zakitaalam ziwezekufanyika”,amesema Dr Kahise

Dr kahise ametaja mikakati ya kudhibiti magonjwa hayo nipamoja na watu wote wanao husika na uchinjaji na uuzaji wa nyama wanachinje maeneo rasmi yaliyo ruhusiwa na Serikali,kudhibiti kwakuchanja mifugo ,sambamba na kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa kukinga ya mifugo ambao tayari umeanza kutekelezwa katika kata ya Peramiho,Kilagano na Ndongosi.

Kwa upande wake kaimu mganga mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Dr.Jofrey Kihaule amesema katika klpindi cha mwaka 2019 hadi Oktoba 2020 jumla ya watu 340 waliung’atwa na mbu kati ya hao watu 20 walithibitika kuugua kichaa cha ,mbwa.

Shilika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) limeitaja Nchi ya Tanzania ni miongoni mwa Nchi zinazo kabiliwa na tatizo la magonjwa ya milipuko yanayo toka kwa Wanyama kwenda kwa binadamu,sababu ikitajwa mwingiliano wa Wanyama na binadamu kutoka eneo moja kwenda jingine ndani na Nje ya Nchi.

Imeandikwa na

Jacquelen Clavery

Afisa Habari, Songea DC. 

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa