• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

DC NDILE; "WATU WAHIMIZWE KULA VYAKULA VYA ASILI"

Tarehe ya Kuwekwa: October 26th, 2023


Halmashauri ya Wilaya ya Songea imeendelea kutekeleza hatua za Lishe kwa kufuata mwongozo wa Taifa wa Lishe pamoja na sera mbalimbali za nchi zinazolenga kuzuia na kupambana na Udumavu na Utapiamlo mkali kwa watoto chini ya miaka mitano.

Katika kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2023/224 Halmashauri ya Wilaya ya Songea imefanya shughuli za usimamizi elekezi ambazo ni kuangalia utoaji wa Elimu ya Lishe katika vituo vya kutolea Huduma za Afya, Utambuzi na Matibabu ya Utapiamlo Mkali na Upimaji wa hali ya Lishe kwa Watoto wa  chini ya miaka Mitano.

Sanjari na hayo, umefanyika pia uhamasishaji wa utoaji wa chakula shuleni kupitia mikutano ya Hadhara iliyoendeshwa na watendaji wa vijiji na Kata ambapo wazazi walielezwa faida za wanafunzi kupata chakula shuleni na jinsi itakavyosaidia kupunguza utoro, uachaji shule na namna itakavyosaidia kukuza kiwango cha ufaufalu kwa wanafunzi.

Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Afua za mkataba wa lishe robo ya kwanza ya mwaka 2023/2024 Afisa Lishe wa Halmashuri ya Wilaya ya Songea Bi. Joyce Sipira Katika kikao cha Lishe kilichofanyika tarehe 25 Oktoba 2023 ameeleza faida za lishe Bora na hasara za lishe duni katika mwili ambapo amesema

" Lishe Bora ni ulaji wa chakula cha kutosha, vizuri pamoja na shughuli za kawaida za kimwili ni jiwe la Msingi la afya njema, pia ni muhimu kwa afya njema ya ajili na mwili, lishe Bora imebeba viini lishe ( virutubisho ) vilivyoko kwenye chakula ambavyo husaidia  kujenga na kuuwezesha mwili kufanya kazi zake vizuri na kila kirutubisho kina kazi yake mwilini na mara nyingi hutegemeana ili viweze kufanya kazi zake kwa ufanisi. Lakini tunapozungumzia lishe duni inaweza kusababisha Kinga kupungua, kuongezeka kwa uwezekano wa kupata magonjwa, kuharibika mwili na kuathiri maendeleo ya ajili na ufanisi wa uzalishaji.

Nae Mkuu wa Wilaya ya Songea Mhe. Wilman Kapenjama Ndile ambaye alikuwa ni Mwenyekiti wa kikao cha uwasilishaji wa taarifa hiyo amesema " watu wahimizwe kula vitu vya asili ambavyo vinapatikana maeneo waliyopo ili kujenga afya Bora ya miili yao kuliko kutegemea kula samaki tu tena wanatoka mbali, kikubwa tuangalie wadudu gani wanalika kwa ukanda wetu na wanapatikana wakati gani kwa wingi kwa kufanya hivyo tutaepukana na lishe duni kwa watoto wetu na wananchi kwa ujumla na hata kama kuna watu wanakula panya basi Elimu itolewe watiwe moyo kwamaana nao ni wadudu ambao wanaprotini kuliko kuwasema watu wanaokula hao panya na pia waambiwe ni panya gani ndio wanaliwa hususani wale wa porini".

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa