• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

BWAWA LA ASILI LILILOKO MPITIMBI LAINGIZWA KWENYE MPANGO

Tarehe ya Kuwekwa: May 5th, 2024


Mhe. Jenista Mhagama,  Waziri wa Nchi Ofice ya Waziri Mkuu( Sera Bunge na Uratibu) aagiza Bwawa la maji lililopo Mpitimbi lenye ukubwa wa km 17 liingizwe kwenye mpango wa kurekebishwa ili nalo lianze kufugwa   samaki kwa ajili ya kuendelea mradi wa viumbe maji Songea.

Waziri aliyasema hayo baada ya Mwenyekiti wa Halmashaurinya Wilaya ya Songea, Mhe. Menans Komba kutoa hoja katika uzinduzi wa Kuendeleza Lishe na Ufugaji endelevu wa Viumbe maji kwa Wakulima wadogo jana katika mabwawa ya Samaki Mpitimbi.

“ Mhe Waziri, pamoja na viongozi mliambatana nae, kuna bwawa la Mungu lipo hapa hapa mpitimbi tena lipo njiani tu hapo ambapo mnaweza pita nakujionea ili kuangalia namna mnaweza kulitumia bwawa hilo ambalo  ni kubwa na linauwezo wa kuingia samaki wengi kama litatengenezwa vizuri, litasafiswa linaweza kusaidia mradi huu wa samaki ambao Serikali ya Rais Samia umeuwekea nguvu na kusaidia wananchi wa Songea.

Aidha ili kuonesha kwamba ombi hilo ni muhimu kwa wakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea, Mhe. Komba alipiga goti kwa Mhe. Jenista Mhagama, Ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Peramiho. Ndipo Mhe. Mbunge  aliona atoe tamko papo hapo kwa viongozi na wananchi kuwa wamelipokea jambo hilo na wameanza kulijadili papo hapo ili kuangalia namna ya kulimaliza.

Akizungumza baada ya kupokea ombi hilo mhe. Jenista Alisema “Kaka yangu Menans Komba, umeweka Hoja nzito, hoja hii ni hoja ya Mbunge wako pia, wananchi wa Mpitimbi   tunalo bwawa la asili hapa mpitimbi kupitia mradi huu nji wakati muafaka sasa bwawa lile lijengwe liimarishwe na Ufugaji wa samaki mkubwa uanze”

Lakini pia Mhe Mwenyekiti alimshukuru Mhe. Mbunge kwa namna anavyochukua changamoto za wananchi na kuzifanyia kazi, aidha alimshukuru pia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Sukuhu Hassan kwa kuweka Rasilimali fedha kwenye Miradi ya Mifugo na Uvuvi.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa