• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

YALIYOJILI katika kikao cha utekelezaji wa tathmini ya Afua ya Lishe robo ya tatu Songea DC

Tarehe ya Kuwekwa: May 8th, 2023

MKUU wa Wilaya ya Songea Mheshimiwa Kapenjama Ndile amewataka Watendaji wa Kata na Vijiji kwa kushirikiana na Walimu wakuu wa shule kuendelea kuhamasisha Wazazi juu ya uchangiaji wa chakula mashuleni.

Ameyasema hayo wakati wa kikao cha utekelezaji wa tathmini ya Afua na Mkataba wa Lishe kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano Lundusi- Peramiho na kuudhuriwa na kamati ya Lishe ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea.

Aidha, DC Ndile katika kikao hicho amewasisitiza Watendaji wa Kata waje na mtizamo mpya wa kutoa taarifa za utekelezaji wa Afua za Lishe kwa uharaka na ziwe sahihi.

“Naendelea kuwasisitiza Watendaji jitahidini sana kuwahisha taarifa, jambo lingine nawaomba Maafisa Elimu muwahamasishe walimu wakuu kuongea na wazazi wa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari ili waweze kuchangia chakula mashuleni na kuhakikisha kila mwanafunzi anapata chakula akiwa shuleni”, amesema DC Ndile.

Akizungumza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Ndugu Neema Maghembe amesema katika kipindi cha robo ya tatu mwaka wa fedha 2022/2023 Halmashauri imefanya shughuli za usimamizi elekezi ambazo ni kuangalia utoaji wa Elimu ya Lishe katika Vituo vya kutolea Huduma za Afya, Utambuzi na matibabu ya Utapiamlo mkali na upimaji wa hali ya Lishe kwa Watoto wenye umri chini ya miaka mitano.

“Sisi Halmashauri ya Wilaya ya Songea katika kutii agizo la Serikali la kutekeleza Afua za Lishe tumekuwa na mwelekeo chanya wa kutoa fedha za kutekeleza shughuli za Lishe kwa wakati ili kuhakikisha shughuli hizi zinaenda vizuri”, amesema Ndugu Neema.

Akisoma taarifa ya utekelezaji Afisa Lishe Wilaya Joyce Kamanga amesema katika robo ya tatu Watoto waliogundulika na Utapiamlo mkali walikuwa 18 kati ya hao Watoto wote wamepona baada ya kupatiwa matibabu.

Vilevile amesema Halmashauri imejipanga vizuri katika suala la kuimarisha usimamizi, pia katika kushirikisha kamati za Kata na Vijiji na wataalamu walioko katika ngazi ya Kata kwenye suala zima la kusimamia maadhimisho ya siku ya afya na lishe ambapo Wataalamu wanatoa Elimu kwa wazazi juu ya maandalizi ya Lishe na Watoto wanapata nafasi ya kupima hali ya Lishe katika Vijiji.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa