• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

YALIYOJILI katika Baraza la robo ya nne Songea Vijijini

Tarehe ya Kuwekwa: August 24th, 2023

WAHESHIMIWA Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea wamefanya Baraza la robo ya nne kwa mwaka ulioishia Juni 2023 tarehe 24/08/2023 katika ukumbi wa mikutano Lundusi-Peramiho.

Baraza hilo limeudhuriwa na Waheshimiwa Madiwani, Mkurugenzi Mtendaji, Wakuu wa Idara na Vitengo, Watendaji wa Kata, Wataalamu kutoka TAKUKURU, Usalama na Ofisi ya RAS.

Akizungumza Kaimu Mwenyekiti Mheshimiwa Simon Kapinga ambae ni Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri amewataka wataalamu kuendelea na zoezi la doria katika ukusanyaji wa mapato ili kuongeza mapato ambayo yatakwenda kukamilisha miradi iliyopo katika Kata na Vijiji na shughuli za maendeleo.

Sambamba na hilo Mhe. Kapinga amewataka Watendaji wa Kata na Vijiji kufanya mikutano ya hadhara yenye lengo la kuwahimiza wananchi kutunza mazao kwa ajili ya chakula.

“Bei ya mazao kwa sasa ipo juu hivyo Watendaji katika mikutano hiyo waambieni wananchi wasidanganyike na bei hizo wakapata tamaa ya kuuza chakula chote wajitahidi kutunza chakula kingine kwa ajili ya familia”, amesisitiza Mhe. Kapinga.

Vilevile Mheshimiwa Kapinga amesisitiza Idara za Elimu Msingi na Sekondari kufanya jitihada za makusudi kwa shule ambazo zina wanafunzi wa jinsia ya kike na kiume ambazo hazina walimu wa kike ziweze kupelekewa kwani itasaidia wanafunzi hao kuwa huru kuelezea changamoto zao.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Bi Zawadi Nyoni amempongeza Mheshimwa Mwenyekiti kwa kuendesha kikao kwa weredi na ameahidi maelekezo yote yaliyotolewa ameyapokea kwa ajili ya kuyafanyia kazi.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa