• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

WAZIRI Mpina atangaza kituo cha Luhira kuwa cha mfano

Tarehe ya Kuwekwa: January 7th, 2020


Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga  Mpina amewaagiza   viongozi wa Mkoa wa Ruvuma  kufanya utaratibu wa kujenga hosteli na kiwanda cha kutengeneza chakula cha samaki katika  kituo cha kuzalishia samaki Luhira kilichopo Manispaa ya Songea.

Amesema hosteli hiyo itasaidia kutoa mafunzo ya muda mfupi na kuwatunuku vyeti wahitimu mara baada ya kumaliza mafunzo na kiwanda kitasaidia kuzalisha chakula cha samaki hivyo uzalishaji wa samaki utaongezeka.

Waziri Mpina ameyasema hayo alipofanya  ziara  ya kikazi  katika Mkoa wa Ruvuma ,mara baada ya kutembelea kituo hicho ambacho pia kinahusuka na masuala ya utalii.

Mpina amepongeza kazi nzuri inayofanywa na kituo hicho na kuagiza mafanikio yanayopatikana yaweze kutoa fursa mbalimbali ikiwemo mafunzo na kupata elimu ambayo itawasaidia kuboresha kipato na kuinua uchumi.

“Nimefurahishwa na kituo hiki ambacho ni cha mfano Tanzania,naagiza mjitangaza kwa wananchi ili watu waweze kujipangia ratiba ya kuja kujifunza  hapa bila kuathiri shughuli zao za kijamii’’,amesisitiza.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Songea pololet Mgema amesema kituo cha kuzalishia vifaranga vya samaki Luhira kimekuwa kituo cha kiutalii  na kwamba likiboreshwa  ni chanzo cha mapato.

Luka Mgwena ni Afisa Mfawidhi  wa Kituo cha samaki Luhira amesema kituo hicho kina uwezo wa kuzalisha vifaranga  40,000 kwa wiki na kina uwezo wa kusambaza ndani ya Mkoa na nje ya Mkoa ambapo tayari kituo kimesambaza  vifaranga,Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali katika Mkoa wa Mbeya,Mkoa wa Songwe na Njombe.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa