• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Watanzania asilimia 5 wanamaambukizi

Tarehe ya Kuwekwa: August 30th, 2018

Watanzania asilimia 5  wanamaambukizi.

Asilimia 5 ya watanzania wote wameambukizwa UKIMWI na asilimia 95 hawajaambukizwa kulingana na utafiti wa 2017

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge,kazi ,Vinajana,Ajira na Walemavu Mhe Jenista Mhagama amesema hayo katika hafla fupi ya kukabidhi magari ya mradi wa mwitikio wa kuthibiti UKIMWI kwa Mikoa ya Nyanda za juu kusini iliyofanyika mjini songea hivi karibuni.

Mhe Mhagama amesema Watanzania asilimia  5 wameambukizwa ukimwi na asilimia 95 hawajaambukizwa kulinga na utafiti wa 2017 na Serikali itahakikisha wanapatiwa huduma zinazotakiwa  pamoja na  dawa za kufubaza virusi vya UKIMWi na lishe,na asilimia 95 wasio ambukizwa wanalindwa kwa kupewa elimu kwa njia mbalimbali.

Kutokana na utafiti wa 2016/ 2017 kuhusu maambukizi dhidi ya ukimwi Nchini,Mikoa ya Nyanda za juu kusini ilionekana kuwa na tatizo la maambukizi yakuwa juu au sawa na wastani wa kitaifa ambao ni asilimia 4.7 sababu iliyopelekea  kuunda mkakati wa uratibu  wa mradi wa mwitikio wa kudhibiti UKIMWI kwa Mikoa ya Nyanda za juu Kusini.

Ugonjwa wa UKIMWI upo Nchini takribani miaka 30 mpaka sasa,na Watanzania zaidi ya milioni moja wanatumia dawa za kufubaza makali ya virusi vya UKIMWI,na mkakati wa Serikali kupunguza maambukizi mapya hadi kufikia asilimia 0.3 hadi kufikia 2030 kutoka 4.7 ya saasa  na tatizo la UKIMWI bado lipo  hivyo kila mtu anatakiwa kuwa makini kujilinda dhidi ya maambukizi mapya ya VVU.

Jacquelen Clavery -TEHAMA

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa