• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

WANASHERIA WA HALMASHAURI WATOA MUONGOZO WA USULUHISHI WA MIGOGORO YA ARDHI KATIKA MABARAZA YA KATA

Tarehe ya Kuwekwa: February 6th, 2024


Wanasheria wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea wakiongozwa na Wakili msomi Pascal Kapinga, wamefanya ziara katika kata mbalimbali zilizoko halmashauri ya Songea, na kukutana na Mabaraza ya Kata, lengo ikiwa ni kuwajengea uwezo ili waweze kutenda haki katika majukumu yao.

Akizungumza katika utangulizi wa Semina hiyo wakili msomi Hussein Hamidu amesema “tumekuja kuwakumbusha na kuwaelewesha kuusu namna ya utatuaji wa migogoro ya Ardhi na migogoro mingine katika kata zenu, lakini pia pamoja na mambo mengine kuja kuwaeliisha kuhusu mabadiliko ya sheria mpya ambayo yamefanyiwa marekebisha mwaka 2021, ambayo yanalenga namna ya kutatua migogoro ya ardhi kwa njia ya usuluhishi.

Aidha Mr. Hussein aliendelea kutoa ufafanuzi kuhusu mpango wa Serikali katika kuhakikisha wananchi wake wanaondokana na migogoro, hivyo kuweka mikakati thabiti ya kupunguza migogoro ya Ardhi kwa kuweka mifumo mizuri na kuboresha sheria za Ardhi

Katika kutatua changamoto zinazoukabili Mfumo wa utatuzi wa migogoro ya Ardhi, Serikali imechukua hatua Mbalimbali ambazo zimelenga kuboresha mfumo wa utoaji haki hususani kutatua migogoro ya ardhi.

Hatua zilizochukuliwa na serikali ni pamoja  na kuanzisha sera ya Taifa ya Ardhi ambayo inaelekezwa uanzishwaji wa mfumo wa utatuzi wa mgogoro ya Ardhi ambao ni wa haraka, huru na unaofikika. Serikali pia imetunga Sheria ya Ardhi Sura 113, Sheria ya Ardhi vijiji Sura 114 pamoja na Sheria ya Mahakama za Ardhi Sura 216. Sheria hizi pamoja na maswala mengine zimeweka mifumo ya utatuzi wa migogoro ya Ardhi ili kufikia malengo ya Sera ya Taifa ya Ardhi.

Ofisi ya Rais, TAMISEMI inatarajia kuwa Mwongozo huu utasaidia Mabaraza ya Kata Tanzania Bara katika utekelezaji majukumu yake ya usuluhishi wa migogoro ya Ardhi na kuhakikisha kuwa haki inapatikana kwa haraka, wakati na kwa urahisi.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa