• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Wananchi watakiwa kuchukua tahadhari ya kusombwa na maji

Tarehe ya Kuwekwa: March 11th, 2020

Wananchi watakiwa kuchukua tahadhari Ya kusombwa na maji

Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololeti Mgema amewataka wanachi wa Halmashuri ya Wilaya Songea Mkoani Ruvuma kuchukua tahadhari ya kusombwa na maji kufuatia baadhi ya mito kufurika maji.

Mgema ametoa tahadhari hiyo wakati akikagua majaraja  na barabara katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma hivi karibuni

Amewataka wananchi kuchukua tahadhari yakusombwa na maji na kusubiri wanapokuta mto umefurika maji kwasababu wanaweza kusombwa na maji na kusababisha madhara ya kibinadamu.

Amesema mvua zinazoendelea kunyesha zinasababisha baadhi mito mingi kufurika nakuleta adha kwa wananchi ikiwemo uchakavu wa miundo mbinu ya barabara na madaraja katika maeneo mbalimbali

Mgema amewaka Wakala wa Barabara wa Mijini na Vijiji pamoja na Wakala wa Barabara kufanya matengezo katika maeneo ambayo yanaonekana kuleta adha kwa wanachi kwa kipindi hiki cha masika.

Aidha amewaonya wananchi kutofanya shughuli zakibinadamu kamavile kilimo na malisho ya wanyama umbaliwa wa mita 60 kutoka kwenye kingo za mto kwa sabababu shughuli hizo zinasababisha mito kuboa kingo maji kukosa mwelekeo na kusambaa  ovyo.

Baadhi ya wananchi wameomba serikali kuwajengea madaraja ambayo yamakuwa kikwazo kwao katika kutekeleza majukumu yao  na uptikaji wa huduma za kijamii kutoka eneo moja kwenda jingine pindi daraja linaposombwa na maji hasa kwakipindi cha masika.

Mgema alitembelea eneo la Mto Njoka,daraja la Mhukuru linalounganisha na kijij cha Matama,daraja la linalounganisha Nchi ya Tanzania na Msumbiji  Mkenda Ofisi za Uhamiaji mpakani mwa Tanzania na Msumbiji ambapo eneo hilo nalo lilifurika maji nakusababisha changamoto kwa wasafiri pamoja na nyumba moja ya mwananchi kusombwa na maji.

JACQUELEN CLAVERY

K/AFISA HABARI SONGEA DC

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa