• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

WANANCHI kuendelea kunufaika na fursa za kiuchumi Wilaya ya Songea

Tarehe ya Kuwekwa: September 21st, 2021

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Bunge Ajira na wenye Ulemavu( Mbunge) Mhe.Jesta Mhagama amesma wananchi  wa jimbo la peramiho mkoani Ruvuma kuendelea kufungua fursa za kiuchumi  katika jimbo la peramiho

Mhe Mhagama  ameyasema hayo katika ziara yake ya kikazi ya siku moja katika kata za ndongosi,mpitimbi na litapwasi aliyoifanya hivi karibuni.

Mhe Mhagama amesema ataendelea kusimamia miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika jimbo hilo ili wananchi waendelee kunufaika na fursa hizo kupitia miradi iliyojengwa ,inayojengwa na itakayojengwa.

Amezitaja baadhi ya fursa ambazo wananchi wa jimbo hilo wanaweza kunufaika nazo kuwa ni ujenzi wa hospitali ya wilaya ,iliyojengwa katika kata ya mpitimbi,miundo mbinu ya barabara,upatikanaji wa huduma ya nishati ya umeme ambayo inapatikana kwa asilimia 80 ndani ya jimbo hilo.

Amesema kuwepo kwa miradi hiyo ni fursa kwa wananchi kunufaika nafusa hizo kwa kuanzisha shughuli za kiuchumi kama vile kilimo ,ufugaji ufundi wa kutengeneza bidhaa mbalimbai kama kutengeneza madirisha na biashara ndogo ndogo.

“ Naomba muwe na subira hayawi hayawi yatakuwa “,amesema mhe. Mhagama

Amewarai wananchi kuwa na moyo  wa uvumili pindi wanapokuwa na changamoto za kupata huduma za kijamii kwani serikali yao ni sikivu na inasikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi  hatua kwa hatua kwakuzingtia sera na ilani ya chama.

Amewahaidi wananchi wa kijiji cha Nambendo kwachimbia kisima cha maji chenye urefu wa mita 170 hadi 180 ambacho kitafungwa tanki na kusambaza maji kijijini hapo mara baada ya wataalam wa maji kufanya upembuzi yakinifu.

Amemshukuru Mhe. Rais mama Samia Suluhu Hassani kwakutoa fedha ambazo zinatekeleza miradi mbalimbali katika Jimbo la Permiho ambayo inakuwa chachu ya kuchochea uchumi wa wananchi kama vile ujenzi wa vyumba vya madarasa na vyoo kwa shule za msingi na sekondari,Vituo vya afya ,barabara ,miradi ya maji na huduma nyingine za kijamii.

Kwa upande wao wananchi wa kata hizo wamemshukuru  mbunge kwakuwaunga mkono  katika kutekeleza maendeleo yao kwakuwachangia fedha na vifaa vya viwandani katika miradi ya ujenzi na ushauri ambao umekuwa sehemu ya mafanikio kwao.

Imeandaliwa na kuandikwa na

Jacquelen Clavery

Afisa Habari

Songea dc

 

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa