• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

WANAFUNZI Mpitimbi Sekondari waishukuru Serikali kuwajengea bweni

Tarehe ya Kuwekwa: October 20th, 2022

WANAFUNZI wa shule ya Sekondari Mpitimbi wameishukuru Serikali kupitia Halmashauri ya Wilaya ya Songea kwa kuwajengea bweni jipya na la kisasa lililowatengenezea mazingira mazuri ya kujisomea.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wameipongeza na kuishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Mbunge wa Jimbo la Peramiho Mheshimiwa Jenista Joakim Mhagama kwa jitihada za kuboresha miundombinu ikiwemo ujenzi wa bweni na vyumba viwili vya madarasa vilivyojengwa kwa fedha za mpango wa maendeleo kwa ustawi wa jamii na mapambano dhidi ya UVIKO-19.

Akizungumza Mwalimu wa ujenzi Mathew Haule amesema, Shule ilipokea jumla ya shilingi Milioni 80 kutoka Serikalini kwaajili ya ujenzi wa bweni ambapo fedha zilizotumika ni shilingi 79,995,561 na kubaki shilingi 4,400.

Mwalimu Haule amesema hatua ya Serikali kujenga bweni kwaajili ya wanafunzi wa kike imesaidia wanafunzi kuishi kwenye mazingira mazuri ya kujisomea muda wa ziada pamoja na kuwaongezea ulinzi watoto wa kike.

Kwaupande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Ndugu Neema Maghembe amesema kuwa kwa mwaka wa fedha 2021/2022 Serikali imetumia jumla ya shilingi Milioni 480 kwaajili ya kujenga mabweni sita katika shule za Sekondari.

Aidha ameongeza kuwa kwa mwaka 2022/2023 Serikali imepanga kutumia Shilingi Milioni 320 kwaajili ya kujenga mabweni mengine manne ambapo wameshapokea Shilingi Milioni 160 kati ya Shilingi 320 kwaajili ya kujenga mabweni mawili.

‘’Napenda kutoa shukrani za dhati kwa Serikali yetu ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan, na Mbunge wa Jimbo la Peramiho Mhe.Jenista Joakim Mhagama kwa kuendelea kuikumbuka Halmashauri kwa kutuletea fedha kwaajili ya kutekeleza miradi na kuboresha huduma mbalimbali za kijamii’’, amesema Ndugu Neema.

Pia ametoa shukrani kwa baraza la Madiwani wakiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe.Menas Komba, Viongozi wa Chama pamoja na timu ya wataalamu kwa kushirikiana vyema katika kutekeleza na kuisimamia miradi.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa