• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Viongozi wa vyama vya siasa Jimbo la Peramiho wapata mafunzo elekezi kuhusu uchaguzi mkuu

Tarehe ya Kuwekwa: August 12th, 2020


Viongozi nane wa vyama vya siasa katika Jimbo la Peramiho Mkoani Ruvuma wamepewa mafunzo elekezi ya kutambua kanuni,taratibu  na sheria za mwendo na mchakato wa uchaguzi mkuu wa oktoba  28 /2020.

Mafunzo hayo yametolewa na msimamizi mkuu wa wa uchaguzi Jimbo la Peramiho Bw Simon Bulenganija katika ukumbi wa mkutano wa jimbo la Peramiho uliopo katka ofisi ya Mkurugenzi Songea hivi karibuni

Bw Bulenganija amewasihi viongozi wa vyama hivyo kusoma na kuelewa vizuri kanuni, taratibu na sheria za uchaguzi kama zilivyo elekezwa na Tume ya uchaguzi Tanzania.

“Uchaguzi ni wa uhuru na haki kupitia zoezi hili lakujengeana uwezo muelewe vizuri na  kutoa taarifa sahihi ili kuepusha na kupunguza malalamiko yanoweza kujitokeza katika zoezi zima la uchaguzi “,alisema Bulenganija

Amesema mafunzo hayo yanalengo la kutumiza wajibu, nao kama viongozi wa vyama vya siasa wanawajibu wa kutoa maelekezo  sahihi kwa wagombea wao ,mawakala na wadau wengine wa vyama, hivyo wazingatie maelekezo yote yanayo tolewa na Tume ya Uchugazi ya Taifa kwa nia ya kuepusha sintofahamu ambazo zinaweza kutokea.

Ibrahimu komba ni katibu wa UDPP wa Wilaya ya Songea ametoa pongezi na shukrani kwa msimamizi mkuu wa  uchaguzi jimbo pamoja timu yake kwa kuwakuwapa mafunzo hayo ambayo yatawasaidia kutekeleza wajibu wao  katika mchakato mzima wa uchaguzi mkuu wa kuwachagua madiwani,wabunge na Rais.

Viongozi walioshiriki mafunzo hayo ni kutoka vyama vya siasa vya ACT Wazalendo,NCCR mageuzi ,Chama cha  CHADEMA,Chama cha Mapinduzi,(CCM),UDPP,Chama cha wananchi (CUF),ADATADEA pamoja na NRA.

Imeandikwa na Jacquelen Clavery

Afisa Habari-Songea DC

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • VIKUNDI 28 VAPATIWA MIKOPO YA TSH MILIONI 249 NA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    July 03, 2025
  • ZAIDI YA MILIONI 600 ZIMETUMIKA KUJENGA STEND YA KISASA PERAMIHO

    July 01, 2025
  • Ujenzi wa Mradi wa Barabara Likuyufusi–Mkenda ni fursa mpya ya Maendeleo ya Songea Dc.

    June 20, 2025
  • WASIMAMIZI WA MIRADI WASISITIZWA KUZINGATIA UADILIFU NA UFANISI KATIKA USIMAMIZI WA MIRADI YA MAENDELEO SONGEA DC

    June 19, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa