• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

VIONGOZI na Wataalamu Songea DC watakiwa kusimamia miradi kikamilifu.

Tarehe ya Kuwekwa: October 28th, 2022

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Songea limewataka watendaji wa kata na Vijiji kuwajibika kusimamia miradi yote kikamilifu ambayo ipo katika maeneo yao

Agizo hilo nimetolewa na Baraza la Madiwani kwenye kikao cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha2022/2023 kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri Lundusi-Peramiho.

Akizungumza kwenye kikao hicho Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mheshimiwa Menas Komba alisema wao kama baraza la madiwani wamewataka wataalamu wasimame imara katika swala zima la usimamizi wa mapato hili Halmashauri iweze kwenda mbele.

Mheshimiwa Menas alisema niwajibu wa kila kiongozi wa kata katika Halmashauri hiyo kusimamia na kufuatilia matumizi sahihi ya fedha katika miradi yote inayojengwa kwenye maeneo yao ili iweze kwenda vizuri na kukamilika kwa wakati.

“Lakini niwaombe waheshimiwa madiwani na viongozi wa kata mkasimamie majengo na mkayaelewe mamlaka yenu kama viongozi wa kata msikubali kuona miradi inayotekeleza na fedha za Serikali kupitia kodi za wananchi kujengwa chini ya kiwango” alisema komba.

Aidha Mheshimiwa Menas amemuagiza Mkurugenzi Ndugu Neema kwa kushirikiana na wataalamu wa Idara ya Kilimo, mifugo na uvuvi kuhakikisha wanasimamia vizuri swala la ruzuku na kuhakikisha wakulima wanapata mbegu zilizo bora kwakua msimu wa kilimo umekaribia.

Mheshimiwa Menas amempongeza Mkurugenzi Ndugu Neema na wataalamu wote wa Halmashauri kwa utendaji kazi wao.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Ndugu Neema Magembe amesema maagizo yote yaliyotolewa yanalenga kuifanya Halmashauri inakwenda mbele na ili tufanye vizuri hivyo amelihakikishia Baraza hilo la madiwani kuwa maagizo yote ya kikao hicho yatafanyiwa kazi kwa ufanisi mkubwa kwa kushirikiana na viongozi wa kata

“Nipende kukuhakikishia Mheshimiwa Mwenyekiti mbele ya baraza lako kuwa haya maagizo yote ni yakwetu tuingie kazini tukafanye kazi vizuri hivyo niwasisitize watalamu turudi na majibu ya hiki tulichoelekezwa na baraza ili”, alisema Ndugu Neema.

Maagizo hayo yamekatokana baada ya kusomwa kwa taarifa ya kamati mbalimbali.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa