• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

UZINDUZI WA KITUO CHA AFYA NAKAHEGWA

Tarehe ya Kuwekwa: March 16th, 2020

Wananchi wa Kata ya Mbinga mhalule wameanza kunufaika na huduma za afya baada ya kituo cha Afya Nakahegwa kuzinduliwa na kuanza kutoa huduma

Uzinduzi wa Kituo hicho umefanywa na (MB} wa Jimbo la Peramiho na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera ,Bunge.Ajjira,Vijana na wenye Ulemavu Mh Jenista Mhagama hivi karibuni katika Kijij cha Nakahehegwa Kata ya Nakahaegwa Halmashauri yaSsongea Mkoani Ruvuma.

Mh Mgama amesema uzinduzi wa Kituo hicho umerahisisha upatikanaji wa huduma kwa wananchi na kutoa wito kwa wananchi kuendelea kujitolea pale wanapotakiwa kufanya hivyo.

“ Asilimia miamoja ya wasichana  wanaopima vvu, 85% wanakutwa namaabukizi na wenye umri wakuanzia miaka 15 hadi 25 baadhi ya wanaume tuache kuwafuta masichana na kufanyanao mapenzi”.Alisema Mhe.Mhagama

Akisoma taarifa ya ujenzi wa kituo hicho, Mratibu wa Kifua kikuu na Ukoma kwaniaba ya Mganga mkuu wa Wilaya Bw Adamu ngunga amemwomba Mh Mhagama kuwasaidia kusimamia upatikanaji wa watumishia 150 wa Idara ya Afya ,gari la wagonjwa na Tsh milioni 300 kwaajili ya ujenzi na ukamilishaji wa miundo mbinu ya majengo yanayohitajika.

Ujenzi wa kitauo hicho ulianza mwaka 2011 kwa wananchi kuanza kujitolea kufyatua tofari na kujenga boma,huku serikali imetoa shilingi milioni 122.5 kwa ajili ya ununuazi wa vifaa vya viwandani , ujenzi wa nyumba moja ya mtumishi na kuwalipa mafundi.

Uzinduzi wa kituo hicho cha Afya unatoa huduma kwa wananchi wa Vijiji vya Lipokela,Mbinga muhalule,Nakahegwa na Vitongoji vyake wapatao zaidi ya elfu24.

Aidha wananchi wameshukuru serikali kwakuwasogezea huduma za afya karibu jambo ambalo litawasaidia kufanya shughuli nyingine za kiuchumi kwasababu walikuwa wakitembea umbalii mrefu wakilometa 25 kutafuta huduma hiyo .

Kaimu mganga mkuu wa wilaya ametoa wito kwa wananchi kutoa ushirikiano baina yao na watumishi ili wawezekuwapatia huduma stahiki na kuacha vizingizio.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa