• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Uwekezaji

Tarehe ya Kuwekwa: September 25th, 2018

  Uwekezaji

Halmashauri ya Wilaya ya Songea imetoa vipaumbele 10 vya maeneo ya uwekezajiji ambayo wawekezaji wanakaribishwa kuwekeza katika sekta za kiuchumi,kiutmaduni na sanaa

Vipaumbele hivyo vimetolewa baina ya wataalam wa Halmashauri ya Wilaya pamoja na wadau kutoka Taasisi ya Economics and Social Research Foundation toka Dar-salaam ikiongozwa na Dr Hoseana Lunugelo katika kikao kilchofanyika katika Ofisi za Halmashauri hiyo hivi karibuni.

Maeneo yaliyo pewa vipummmbele kati ka uwekezaji pamoja na kililimo cha alizeti, kiwanda cha kusindika mafuta ya alizeti,kilimo cha zao la miwa,uchimbaji wa madini ya makaa ya mawe,madini ya ejenzi,kuzalisha mitamba maeneo mengine ni kiwanda cha kukamua maziwa ya soya,kiwanda cha kusindika sukakari,kiwanda cha kusindika matunda na maeneo ya utalii.

Halmashauri imetoa vipaumbele kwenye maeneo hayo kwakuwa tayari maeneo yameshatengwa na uhitaji wa huduma hizo kwa jamii ni mkubwa hivyo mwekezaji atakaye kidhivigezo atapimiwa maeneo kwa mujibu wa kanuni,taratibu na sharia za nchi.

Dr Lunugelo amesema zipo faida nyingingi katika uwekezaji ambazo ni pato la mtu binafsi kutotokana na shughuli ndogo ndogo atakazozifanya katika eneo husika,na upatikanaji wa huduma za jamii kama huduma za afya,Elimu na maji na pato la serikali kwa kulipa kodi mbalimbali

Aidha wanachi wanatakiwa kutoa ushirikiano kwa wakezaji ambao tayari wemewekeza na wanatarajia kuwekeza katika maeneo yao kiulinzi na kiusalama.

Halmashauri ya Wilaya ya Songea imeshapima maeneo ya uwekezaji katika kata ya ndongosi ekari 1000,Muhukuru Lilahi 50,000,Magwamila ekari 1000 maeneo mengine ni Nakawale ekari 1000 Nambendo ekari 50000 na Muhukuru ekari 50,000

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa