• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

UTEKELEZAJI wa chanjo ya POLIO na UVIKO-19 Songea DC.

Tarehe ya Kuwekwa: September 9th, 2022

WANANCHI Halmashauri ya Wilaya ya Songea wametakiwa kuendelea kuchanja chanjo ya POLIO na UVIKO-19 ili kuweza kupunguza makali ya magonjwa hayo.

Hayo ameyasema Mkuu wa Wilaya ya Songea Mheshimiwa Pololet Kamando Mgema katika kikao cha utekelezaji wa tathmini ya kamati ya afya msingi katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Lundusi Peramiho.

Amesema kutoka Agosti 2021 hadi kufikia Agosti 2022 Halmashauri imefanikiwa kutoa chanjo ya UVIKO-19 kwa watu 100,842 sawa na asilimia 110.23 hivyo imeweza kuvuka lengo la asilimia 70 iliyotakiwa.

Pia amesema kutoka mwezi Machi 2022 hadi tarehe 05 Septemba 2022 Halmashauri imeweza kuwafikia watoto 37,205 sawa na asilimia 124.3 ya lengo la watoto 29,928.

 ‘’Hatuna budi kujipongeza kwa matokeo makubwa ambayo tumeyapata kuwakinga watoto wetu juu ya ugonjwa wa POLIO Na kuikinga jamii kwa ujumla juu ya ugonjwa wa UVIKO-19, hivyo Halmashauri yetu imeweza kuvuka lengo la asilimia iliyotakiwa kwa chanjo zote’’, amesisitiza DC Mgema.

Kwaupande wake Mratibu wa chanjo Osmunda Paul amesema ugonjwa wa POLIO unaweza ukakingwa kwa kupata chanjo lakini hauna tiba hivyo mtu akipata ugonjwa huo unasababisha ulemavu wa moja kwa moja.

Ametoa rai kwa viongozi kuendelea kuwahamasisha wazazi kupeleka watoto katika vituo vya kutolea huduma ya afya ili kupatiwa chanjo ili wawakinge na ugonjwa huu hatari.

POLIO ni ugonjwa ambao unasababishwa na virusi vya POLIO baada ya kuingia mwilini unaathiri mfumo wa fahamu, ugonjwa huu unaweza kumpata mtu kwa kunywa au kwa kula chakula ambacho kina virusi au vimelea vya ugonjwa huu.

Imeandaliwa na Bahati Nyoni.

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini.

09 Septemba 2022.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa