• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

UKAMILISHWAJI WA MIRADI YA UJENZI IMEWEKWA KUWA KIPAUMBELE SONGEA DC

Tarehe ya Kuwekwa: May 27th, 2024


Mkurugenzi Mtendaji, Afisa Mipango na Mhandisi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea, jana 27/05/2024 wameendelea na mkakati wao wa kuhakikisha miradi yote ya Serikali inakamilika kwa wakati na kwa usahihi, kabla ya mwaka ujao wa fedha 2024/2025.

“ Watumishi wenzangu, tunafahamu kwamba tunaelekea mwisho wa mwaka wa Fedha 2023/2024, hivyo basi bado kipaumbele chetu kiwe kukamilisha miradi yote ambayo ilishatengewa Fedha, ili kabla ya mwaka mpya wa fedha tuwe tumekabidhi kwa wananchi na waanze kupata huduma, ambalo ndilo lengo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
    Timu hiyo ya Wataalamu kutoka Halmashauri ya Songea,   27/05/2024, walitembelea na kukagua miradi ya Ujenzi katika kata tatu ambazo ni Mbingamhalule, Magagura, na Kizuka.

Wamekagua miradi mbalimbali ya Ujenzi kama vile Ghala la Matomondo ( ambapo ndipo lilipo soko la Kimkatati), Shule ya Msingi Matomondo ambapo walikagua ujenzi wa Matundu nane ( 8) ya Vyoo.
   Shule ya Msingi Lusango, walikagua ujenzi wa matundu 23 ya Vyoo, Magagura Sekondari Ujenzi wa Maabara na Kizuka Sekondari wamekagua Ujenzi wa jengo la TEHAMA na Maktaba

Akizungumza kwa niaba ya timu, Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Songea Bi Elizabeth Gumbo, ameendelea kusisiza matumizi sahihi ya Fedha za Serikali katika Miradi, pamoja na kuzingatia muda ili kuhakikisha kabla ya mwaka mwingine wa Fedha kuingia tuwe tumemaliza kazi zote za mwaka wa fedha 2023/2024.

Aidha Mkurugezi ametoa wito kwa wakuu wa idara na kamati za ujenzi kuhakikisha wanawakagua mafundi mala kwa mala ili kuhakikisha mafundi wanajeng kwa ubora ulikusudiwa

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa