• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

ujenzi na ukarabati wa miradi ya maji

Tarehe ya Kuwekwa: September 19th, 2018

UJENZI NA UKARABATI WA MIRADI YA MAJI

Halmashauri ya wilaya ya Songea imefungua zabuni ya ujenzi na ukarabati wa miundo mbinu ya miradi ya maji katika kijiji cha Matimira na Mbiro

Zabuni hiyo hiyo imefunguliwa hivi karibuni na kaimu Afisa manunuzi wa H/mashashauri Bw Andrew Nzali katika kikao cha pamoja baina ya waomba zabuni na wajumbe wakikao hicho kilicho fanyika septemba 18 /2018 katika ukumbi wa Halmashauri hiyo.

Akifungua zabuni hizo amesema zabuni zilizoombwa ni mbili na makampuni yalijitokeza kuomba kufanya kazi ya ujenzi na ukarabati wa miradi hiyo ni nne ambazo ni ARM COMMONICATION COMPANY LTD kutoka Mkoa wa Njombe, NGOGO COMPANY LTD  kutoka njombe,STUIMAK COMPANY LTD na SHADA INVESTMENT COMPANY zote kutoka Manispa ya Songea Mkoani Ruvuma.

Amesema ujenzi wa mradi wa maji Mbiro umeombwa na kampuni ya SHADA INVESTMENT COMPANY ambapo wameomba kujenga mradi huo kwa muda wa miezi mitano,na kampuni ya ARM COMMONICATION COMPANY wao wameomba kujenga mradi huo kwa  muda wa miezi mitano pia.

Bw Nzali amesema mradi wa ukarabati wa miundo mbinu ya maji katika kijiji cha Matimira umeombwa kukarabatiwa na kampuni ya STUIMAK COMPANY LTD wameomba kukarabati kwa kwa muda wa miezi mitano na NGOGO COMPANY LTD wameomba kukarabati kwa muda wa miezi mitano pia.

Aidha Bw Nzali amesema mchakato wa kumpata mkandarasi wa kila mradi unaendelea kupitia vikao husika pindi zoezi litakapo kamilika na utekelezaji wa kazi hizo utaanza.

Ukarabati wa miundo mbinu ya maji unaotarajia kufanyika katika kijiji cha Matimira ni kuongeza  huduma ya upatikanaji wa maji kwa wananchi kwakujenga mtandao wa usambazaji wa maji na ujenzi wa tank jipya lenye ukubwa wa Zaidi ya lita 250,na ujenzi wa mradi wa maji katika kijiji cha Mbiro ni kuondoa changamoto ya maji kwa wananchi wa  kijiji hicho ambao kwasasa wanatumia maji mtiririko yanayo patikana kwa wingi kidogo .Wananchi wanatakiwa kutunza vyanzo vya maji kwa ustawi  wa maisha  ya wanyama na mimea.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa