• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

UANDIKISHAJI DARASA LA AWALI NA SHULE YA MSINGI UNAENDELEA

Tarehe ya Kuwekwa: October 23rd, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Ndg Neema M Maghembe anaendelea kuwakumbusha wazazi na walezi wote katika Halmashauri ya wilaya ya songea kuwa zoezi la uandikishaji wanafunzi wa darasa la awali na darasa la kwanza linaendelea katika shule zote ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Songea

Kufuatia mkakati wa uboreshaji wa Elimu wa mwaka 2022 uliazimia watoto wa awali na darasa la kwanza waandikishwe kuanzia tarehe 1 Octoba hadi tarehe 31 Disemba na utekelezaji wake umeanza rasmi mwaka huu wa 2023 ili ifikapo januari 2024 watoto waanze masomo kwa kuingia darasani.

Akizungumzia uandikishaji huo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea amewaomba wazazi na walezi kutumia nafasi hii kwa sasa ili ifikapo Januari watoto waanze masomo na sio usajili tena. Amesema

“Kwa wazazi wote ambao wanaona kwamba watoto wao wamefikia umri wa kuanza shule basi wafike katika shule iliyopo jirani na yeye ili kumuandikisha mototo wake ambapo kwa darasa la awali umri ni miaka 5 hadi 6 na kwa darasa la kwanza umri ni miaka 7 hivyo natoa rai kwa wazazi na walezi wote muda ndio huu wa kuandikisha watoto wetu ili waanzekupata  elimu”

“Pia natoa wito kwa viongozi wa Chama na Serikali, pamoja na taasisi za dini kufikisha ujumbe huu kila sehemu ambako wanahudumia wananchi na waumini wao ili watu wote waweze kufahamu kuhusiana na taarifa hii, vilevile kwa wale wazazi na walezi ambao wanaishi na watoto wenye ulemavu wowote ule wasiwafiche watoto hao majumbani kwao, kama wamefikia umri wa kuanza shule basi wawapeleke shuleni kuwaandikisha kwani mazingira ya kuwalea yapo na yanaruhusu” Alisema Ndg Neema M Maghembe Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea.

Uandikishaji huu ulianza rasmi tarehe 1/10/ 2023 na unatarajiwa kukamilika tarehe 31/12/2023, kaulimbiu ya uandikishaji huu ni “KILA MTOTO ANAHAKI YA KUPATA ELIMU, HAKIKISHA UNAMUANDIKISHA”.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa