• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

TUSOME PAMOJA watoa elimu ya simulizi za mabadiliko ngazi ya wilaya

Tarehe ya Kuwekwa: September 12th, 2018

SHIRIKA lisilo la kiserikali la TUSOME PAMOJA limetoa mafunzo ya siku moja kwa maafisa habari,maafisa elimu na wenyeviti wa waratibu Elimu kata katika Halmashauri zote nane za mkoa wa Ruvuma,mafunzo hayo yamefanyika kwa siku moja katika Hoteli ya Agapol Matogoro Manispaa ya Songea.

Mafunzo yaliyotolewa kwa maafisa hao yanahusu kuibua na kubadilishana simulizi za mabadiliko chanya katika maeneo yao ambapo wamekubaliana kuweka mpangokazi wa kufanya tafiti katika maeneo yao kwa kuangalia simulizi za mabadiliko chanya,kufanya mahojiano ya wahusika,kukusanya data,kuchambua na kuandika simulizi fupi kwa njia ya machapisho au video kisha kuziwasilisha TUSOME PAMOJA Mkoa wa Ruvuma Oktoba 9 mwaka huu.

Mratibu wa TUSOME PAMOJA katika Mkoa wa Ruvuma Steven Msabaha amesema simulizi za mabadiliko kutoka katika Halmashauri zote za mkoa wa Ruvuma zinatarajiwa kuwasilishwa kimkoa kuanzia Oktoba 16 hadi 17 mwaka huu na kufanyiwa majadiliano ya wanahabari kupitia vyombo vya habari.

Uchunguzi umebaini kuwa simulizi za mabadiliko katika elimu zitasababisha shule nyingine kujifunza kutoka katika shule ambazo zimefanya vizuri na kufanya mabadiliko kwa kuiga au kubadilishana uzoefu wa masuala ya kielimu.

Akitoa historia ya shirika la TUSOME PAMOJA ambalo linafadhiliwa na USAID katika kipindi cha kuanzia Machi 2016 hadi Machi 2021,Mratibu wa TUSOME PAMOJA mkoani Ruvuma,Steven Msabaha amesema shirika hilo kwa sasa linafanyakazi katika mikoa minne ya Tanzania bara ambayo ni Ruvuma,Iringa,Mtwara na Morogoro pia linafanyakazi Tanzania Visiwani.

Msabaha amesema katika Mkoa wa Ruvuma TUSOME PAMOJA  inafanyakazi katika Halmashauri zote nane za Mkoa zikiwa na jumla ya kata 173 na shule za msingi 766 na kwamba lengo la shirika hilo ni kushirikiana na serikali kupitia Wizara ya Elimu na TAMISEMI kuhakikisha kuwa katika kipindi cha miaka miwili ijayo wanafunzi wa darasa la kwanza na pili waweze kusoma kwa ufasaha na kwamba hadi sasa TUSOME PAMOJA imetimiza miaka mitatu.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa