• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Timu ya Wataalamu yafanya ufuatiliaji wa miradi ya ajira ya muda inayotekelezwa na Walengwa wa TASAF.

Tarehe ya Kuwekwa: May 27th, 2023

MRATIBU wa TASAF Bi. Hossana Ngunge kwa kushirikiana na wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea wamefanya ufuatiliaji na ukaguzi wa miradi ya ajira za muda ­­(PWP) inayotekelezwa na walengwa wa mpango wa TASAF.

Miradi hiyo iliibuliwa na Walengwa ili kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili Kijiji husika.

Aidha, miradi iliyoibuliwa ni Pamoja na utengenezaji wa (paving) ambazo zitawekwa katika Zahanati ya Kijiji cha Lipokela.

Vilevile mradi mwingine ni ujenzi wa vivuko ambavyo vinaenda kurahisisha uvukaji katika kipindi cha masika ambapo mito mingi hufurika maji na kusababisha wananchi kushindwa kuvuka kutoka sehemu moja Kwenda sehemu nyingine.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO October 12, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • WAZEE WA WILAYA YA SONGEA, WAUNGANA NA WAZEE WENGINE DUNIANI KOTE KUADHIMISHA SIKU YA WAZEE DUNIANI

    October 01, 2023
  • WANANCHI WANUFAIKA UPATIKANAJI WA HATI ZA VIWANJA KWA URAHISI

    September 27, 2022
  • SONGEA DC WAKABIDHIWA VIFAA VYA MICHEZO

    September 14, 2023
  • SIKU YA WAZEE DUNIANI, "UTHABITI WA WAZEE KWENYE DUNIA YENYE MABADILIKO"

    September 26, 2023
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa