• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

TIMU YA UKAGUZI WA MIRADI YAKAMILISHA ZIARA YA KUTEMBELEA MIRADI YENYE THAMANI YA ZAID YA SHILINGI BILION 2.3

Tarehe ya Kuwekwa: October 2nd, 2025


Ukaguzi wa miradi yenye thamani ya bilioni 2.3 uliofanywa kwa ushirikiano na timu ya wataalam, ikiongozwa na mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Bi Elizabeth Gumbo imekamilisha ziara yake jana Septemba 30, 2025 na kufanya tathmini ya kina ya miradi 59 iliyopo katika kata 16 zilizopo Halmashauri ya Wilaya ya Songea, ikilenga kubaini maendeleo, changamoto, na nafasi za kuboresha.


Ziara hiyo ya siku sita, ilijumuisha Wataalam mbalimbali ambao wanahusika kwa namna moja ama nyingine na Miradi inayotekelezwa kama vile Idara yenye miradi husika, Manunuzi, Mkandarasi, Muweka hazina Maendeleo ya Jamii, Mipango, Watendaji wa Kata husika, ambapo kwa uwepo wao imekua rahisi kutatua changamoto zilizokua zikijitokeza 


Miradi iliyotembelewa katika ukaguzi huo ni pamoja na Ukamishaji na Ujenzi wa Madarasa, Matundu ya Vyoo, Zahanati, Vituo vya Afya Nyumba za Watumishi pamoja na Mabweni ambapo Wataalam walikagua nyaraka, walifanya mahojiano na wanajamii, na walitembelea maeneo husika ili kupata picha halisi ya utekelezaji wa miradi.


Miongoni mwa mambo yaliyogundulika ni umuhimu wa ushirikiano kati ya jamii na viongozi wa halmashauri katika kusimamia miradi hiyo. Wataalam walibaini kuwa baadhi ya miradi ilikabiliwa na changamoto za ukosefu wa rasilimali na kuhakikisha rasilimali hizo zinafika kwenye miradi kwa haraka. Hata hivyo, miradi mingine ilionyesha mafanikio makubwa katika kuboresha maisha ya wananchi, hasa katika sekta za elimu na afya.


Matokeo ya ukaguzi huu yatatumika kama msingi wa kuboresha usimamizi wa miradi katika halmashauri, kuhakikisha kuwa rasilimali zinatumika ipasavyo na miradi inatoa matokeo chanya kwa jamii. Mkurugenzi alisisitiza umuhimu wa kuendelea na ukaguzi wa mara kwa mara ili kuhakikisha uwajibikaji na ufanisi katika utekelezaji wa miradi yote


Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • STENDI MPYA NA YA KISASA YA PARANGU, YAANZA KUONESHA NURU

    October 23, 2025
  • WATAHINIWA 5157 WA DARASA LA NNE SONGEA DC, WAANZA MITIHANI YAO LEO

    October 22, 2025
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA AWASISITIZA WANANCHI / WATUMISHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA OKTOBA 29, 2025

    October 21, 2025
  • SERIKALI YAIMARISHA HUDUMA ZA AFYA SONGEA DC: ZAIDI YA MILIONI 891 ZATOLEWA KUJENGA VITUO VIPYA VYA AFYA

    October 18, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa