• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

TFDA yaanza kutoa elimu ya sheria kuhusu utoaji wa huduma ya chakula.

Tarehe ya Kuwekwa: March 5th, 2019

Watoa huduma za chakula wa Halimshauri ya Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma wametakiwa kuzingatia mahitaji ya kisheria katika udhibiti wa huduma ya chakula kwenye mikusanyiko.

Rai hiyo imetolewa na mkaguzi wa chakula kutoka mamlaka ya chakula na dawa kanda ya Kusini Bw. Kasela Kasubi  katika mafunzo ya kuwajengea uelewa watoa huduma ya  chakula yaliyo fanyika katika ukumbi wa Wilaya ya Songea hivi karibuni.

Bw. Kasubi amesema watoa huduma ya chakula wanatakiwa kuzingatia mahitaji ya kisheria katika utoaji wa huduma hiyo ikiwemo udhibiti wa huduma ya chakula kwenye mikusanyiko, kukidhi vigezo vya kusajiliwa na kupata kibali cha kufanya biashara sambamba na kuzingatia kanuni za afya kabla ya kuanza biashara.

Amewataka watoa huduma za chakula kupima afya zao kitendo kitakacho saidia kuzuia magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya hewa kama vile TB, Kikohozi, Mfua, yasiweze kuambukiza watu wengine, kupima afya ni muhimu sana kwa watoa huduma ya chakula kwa sababu kunasaidia kuwatambua walioathirika na maradhi kuazishiwa tiba mara moja.

Amesema wameamua kutoa Elimu hiyo  baada ya kubaini changamoto zinazowakabili watoa huduma za chakula kwa  kushindwa kuzingatia kanuni, taratibu na sheria kwa kujua au kutokujua na kutoa huduma kiholela jambo linaloweza kusababisha madhara ya kiafya kwa mtumiaji yakiwemo magonjwa ya milipuko.

Bw. Kasubi amesema kushindwa kutekeleza matakwa ya kisheria na kutokuzingatia kanuni za Afya adhabu yake ni kufungiwa biashara, kunyang’anywa kibali na kufikishwa kwenye vyombo vya dola.

``Zipo sheria zinazosimamia utoaji wa huduma za chakula kwenye mikusanyiko, shareia ya chakula, dawa na vipodozi  sheria namba  219, inaweka sharti la kusajili jengo linalotumika kwa ajili bidhaa zinazo dhibitiwa na TFDA chakula ni moja ya bidhaa hizo” Alisema Kasubi.

Clementina Komba ni moja kati ya watoa huduma za chakula akizungumza kwa niaba ya wenzake katika maadhimia ya pamoja baina yao na Mamlaka ya chakula na Dawa Nchini wameomba wapewe siku tisini ili waweze kutekeleza matakwa ya kisheria katika utoaji wa huduma ya chakula kwa jamii husika.

JACQUELEN CLAVERY- TEHAMA.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa