• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

TAARIFA ya fedha za miradi zilizopokelewa Songea DC kutoka serikali kuu

Tarehe ya Kuwekwa: March 1st, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Songea imepokea fedha kiasi cha shilingi Milioni 123,930,000 kutoka Serikali kuu Kwaajili ya kutekeleza mradi wa ujenzi wa shamba darasa la Viumbe maji lilipopo Katika Kata ya Mpitimbi.

Hayo yamethibitishwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mheshimiwa Menas Komba na Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Neema Maghembe katika kikao cha kamati ya fedha.

Lengo la mradi huu ni kuendeleza sekta ya uvuvi Kwa utoa mafunzo Kwa wafugaji wa Viumbe maji ili Elimu hivyo iweze kuendelezwa Kwa wafugaji wengine ndani ya Halmashauri.

Aidha, fedha hizo zinatarajiwa kujenga mabwawa ya Samaki manne,    uzio na darasa la mafunzo.


Pia wamesema Halmashauri imepokea fedha kiasi cha shilingi Milioni 278,300,901.28 kutoka Serikali kuu Kwaajili ya ujenzi wa matundu ya vyoo katika shule za Msingi 8.

Shule ambazo zimepokea fedha hizo ni lihuhu, Mhimbasi, Lung'oo, Makambi, Lunyele, Jenista, Ligunga pamoja na Parangu

Aidha, Halmashauri imetoa maelekezo ya awali Kwa Watendaji wa Vijiji husika kuunda kamati za ujenzi, kuandaa tofali na kuchimba mashimo Kwa kuwa fedha hizo ni Kwaajili ya ununuzi wa vifaa vya viwandani ili kukamilisha mradi kwa kuzingatia viwango vya ubora unaotakiwa katika utekelezaji wa mradi wa SWASH.

Vilevile Halmashauri kupitia Idara ya Elimu Msingi imepokea fedha kiasi cha shilingi Milioni 22 Kwaajili ya ukarabati wa klasta ya walimu iliyopo katika Kata ya Mpitimbi.

Aidha, fedha hizo zimetolewa na Wizara ya Elimu Sayansi na technolojia kupitia mradi wa kuimarisha mradi wa kusoma, kuandika na kuhesabu Kwa Elimu ya Msingi awamu ya pili.

Uongozi wa Halmashauri unatoa shukrani kwa Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan na Mbunge wa Jimbo la Peramiho Mheshimiwa Jenista Joakim Mhagama kwa kuleta fedha kwaajili ya utekelezaji wa miradi.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa