• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

STENDI MPYA YA MABASI LUNDUSI YALETA NAFUU YA MAISHA KWA WANANCHi

Tarehe ya Kuwekwa: September 9th, 2025


Ikiwa ni zaidi ya miezi miwili tangu kufunguliwa kwa Stendi ya Kisasa ya Mabasi Lundusi, Halmashauri ya Wilaya ya Songea,  wananchi wamepata unafuu wa maisha kwani ujio wa Stendi hiyo umerahisha usafir na upatikanaji wa huduma muhimu.

Stendi hiyo imerahisisha usafiri kwa watumishi na wakazi wa Peramiho, Maposeni na Kilagano lakini imewezesha wajasiriamali kuanzisha biashara ndogo ndogo katika maeneo yanayozunguka stendi hiyo.

Wadau mbalimbali wanaonufaika na uwepo wa stendi ya mabasi iliyojengwa katika Kijiji cha Lundusi, Halmashauri ya Wilaya ya Songea, wameeleza kuridhishwa kwao na namna stendi hiyo imeboresha huduma za usafiri na maisha ya kila siku. Wameeleza kuwa stendi hiyo ni ya kisasa na imejengwa kwa kuzingatia mahitaji ya abiria na madereva.

Dereva Bw. Gotadi Mapunda, akizungumza kwa niaba ya wenzake alisema miundombinu na mazingira ya stendi hiyo yamekuwa bora ukilinganisha na maeneo ya awali waliyokuwa wakitumia. Aliongeza kuwa eneo la stendi ni kubwa kiasi cha kuruhusu magari yote kupaki bila usumbufu, jambo linalorahisisha utendaji kazi na kuondoa msongamano.

“Huduma zilizopo ndani ya stendi hii, ikiwemo uwepo wa vyoo, zimechangia kwa kiwango kikubwa kuongeza heshima na ubora wa huduma zetu kwa abiria,” alisema Bw. Mapunda.

Kwa upande wake, Bi. Magreth Nyoni, mmoja wa abiria waliotumia stendi hiyo, alisema uwepo wa stendi hiyo umepunguza gharama na muda waliokuwa wakitumia awali kufuata mabasi mbali na kijiji chao. “Ni faraja kubwa kwetu wananchi wa Lundusi kwani sasa tunapata usafiri karibu na makazi yetu bila usumbufu,” alisema.

Wananchi na wadau wengine wamepongeza uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea kwa kusimamia ujenzi wa stendi hiyo, wakisema imekuwa chachu ya maendeleo na fursa mpya kwa wakazi wa Lundusi na maeneo jirani.


Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • STENDI MPYA NA YA KISASA YA PARANGU, YAANZA KUONESHA NURU

    October 23, 2025
  • WATAHINIWA 5157 WA DARASA LA NNE SONGEA DC, WAANZA MITIHANI YAO LEO

    October 22, 2025
  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA AWASISITIZA WANANCHI / WATUMISHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA OKTOBA 29, 2025

    October 21, 2025
  • SERIKALI YAIMARISHA HUDUMA ZA AFYA SONGEA DC: ZAIDI YA MILIONI 891 ZATOLEWA KUJENGA VITUO VIPYA VYA AFYA

    October 18, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa