• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

SONGEA DC yaendelea na Ziara ya Mafunzo Mkoani Geita

Tarehe ya Kuwekwa: September 21st, 2022

VIONGOZI  wa Chama kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Songea wakiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri  Mhe.Menasi Komba na Timu ya wataalamu wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Neema Maghembe wameendelea na ziara ya mafunzo Mkoani Geita  Septemba 20, 2022.

Akizungumza katika ziara hiyo Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mhe.Menasi ametoa shukrani za dhati kwa Viongozi wa Chama na Timu ya Wataalamu wa Halmashauri ya Mji Geita kwa mapokezi mazuri na kujitoa katika kutoa mafuzo hayo.

‘’Niseme tu kwamba yote mliyotuelekeza tumeyasikia na kuyaelewa na tunahaidi kuyafanyia kazi lakini pale ambapo tutajihisi tumesahau moja ya mambo tuliyojifuza tutahitaji tena ushirikiano wenu wa kutufundisha ‘’, amesema Mhe.Menasi.

Kwaupande  wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Ndugu Neema Maghembe amewapongeza Viongozi wa Chama wakiongozwa na Mhe.Constantine Morandi na Timu ya Wataalamu wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Ndugu Zahara Michuzi kwa utendaji kazi wao.

‘’Vile ambavyo tumekuja sio sawa na sasa tunavyoondoka kwakweli mumeweza kukata kiu zetu, pia mumetujengea uelewa wa utekelezaji wa miradi ya Cooperate Social Responsibilities (uwajibikaji wa kampuni kwa jamii inayozunguka mradi) kitu ambacho tulikua hatuna uelewa nacho hivyo haya mliyotufunza tunaenda kuyatendea kazi’’, amesisitiza Ndugu Neema.

Katika ziara hiyo Halmashauri ya Wilaya ya Songea wametembelea miradi mbalimbali ambayo inatekelezwa na Halmashauri ya Mji Geita kupitia Miradi ya uwajibikaji wa kampuni  kwa jamii inayozunguka Mradi ikiwemo Mradi wa Soko la Dhahabu, uwanja wa mpira, Shule ya msingi Bombambili na Machinjio ya kisasa.

Imeandaliwa na Bahati Nyoni,

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini.

Septemba 21, 2022. 

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KULA YAMEANZA SONGEA DC

    April 29, 2025
  • MHE . JENISTA MHAGAMA AZINDUA MADARASA 27 NA VYOO MATUNDU 44, SONGEA DC

    March 16, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa