• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

SONGEA DC mwelekeo chanya katika utekelezaji mkataba wa lishe.

Tarehe ya Kuwekwa: September 9th, 2022

HALMASHAURI ya Wilaya ya Songea imetekeleza afua ya lishe ya robo ya nne  kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano, wamama wajawazito na vijana walio katika umri balehe.

Hayo yamethibitishwa na Mkuu wa Wilaya ya Songea Mheshimiwa Pololet Kamando Mgema katika kikao cha utekelezaji wa tathmini ya mkataba wa lishe kilichoudhuriwa na viongozi na wataalamu katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Lundusi Peramiho.

Amesema katika kipindi cha mwaka 2021/2022 Milioni 36 zilitengwa na zimetumika katika kutekeleza afua mkataba wa lishe.

Pia amesema fedha hizo zilitengwa kutoka mapato ya ndani ya Halmashauri na nyingine kutoka katika mfuko wa pamoja wa afya.

‘’Nawapongeza viongozi wote kuanzia ngazi ya kata na kijiji katika usimamiaji na kutoaji wa taarifa za maeneo yenu hivyo kumekua na mwelekeo chanya wa utekelezaji wa viashiria vya mkataba wa lishe’’, amesema DC Mgema.

Kwaupande wake Afisa Lishe Joyce Kamanga amesema katika robo hii ya nne  ya mwisho kuna baadhi ya kata ambazo walibaini watoto saba wenye wenye utapiamlo ambao watoto watatu wanaendelea na matibabu na wanne wamepona.

Aidha amesema zoezi hili limefanikiwa kutokana na uwepo wa uwajibikaji wa pamoja wa viongozi kwa kutoa fedha za utekelezaji wa afua za lishe kwenye ngazi ya Wilaya.

Imeandaliwa na Bahati Nyoni,

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini.

Septemba 09 2022.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • FAHAMU KUHUSU BARAZA LA MADIWANI; MUUNDO NA UTENDAJIKAZI WAKE

    November 25, 2025
  • SONGEA DC, YATEMBELEA MIKOA INAYOLIMA KAHAWA KWA LENGO LA KUPATA UZOEFU

    November 19, 2025
  • DC NDILE AIPONGEZA HALMASHAURI YA SONGEA KWA KUIMARISHA HALI YA LISHE, ATOA WITO WA KUENDELEZA JITIHADA

    November 17, 2025
  • SONGEA DC YAPOKEA MSAADA WA VIFAA TIBA VYENYE THAMANI YA TSH MILIONI 30 KITUO CHA AFYA MUHUKURU LILAHI

    November 20, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa