• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

SERIKALI kuendelea kusimamia mfumo wa stakabadhi ghalani

Tarehe ya Kuwekwa: December 30th, 2021

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenelali Balozi WILBERT IBUGE amesema serikali itaendelea kusimamia na kuimarisha mfumo wa stakabadhi ghalani kwa mazao ya ufuta,soya na mbaazi ambayo yanatakiwa kuuzwa kwa mfumo huo kwa msimu wa kilimo wa 2021/2022.

Balozi Ibuge ameyasema hayo katika kikao cha Baraza la Ushauri la Mkoa wa Ruvuma kilichofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma .

Balozi Ibuge ameyataja baadhi ya mafanikio ya mfumo wa stakabadhi ghalani  kwa msimu wa kilimo wa mwaka 2020/2021 ni pamoja na  kuwepo kwa bei ya makubaliano baina ya  wakulima na  Makampuni yanayonunua mazao hayo,wakulima kulipwa fedha zao kwa wakati na Serikali kukusanya maduhuri yake kupitia ushuru na tozo.

Amesema usimaizi na ufuatiliaji wa mfumo huo umesaidia pia kuimarisha uchumi wa kipato kwa wananchi kwakuwa mazao hayo yamekuwa yakiwapa faida wakulima,kwa msimu wa kilimo wa mwaka 2020/2021 zao la ufuta limewaingizia Shilingi  Bilioni 17.221,852,087 zao la soya na mbaazi ziliingiza Bilioni 9.3

Ameongeza kwa kusema katika kuendeleza Sekta ya kilimo Mkoa umeanda shughuli za kilimo cha pamoja na kilimo cha mkataba ambacho kitaongeza tija na uzalisha  kwa mkulima kwa mazao ya ufuta,soya na alizeti ambapo jumla ya ekari 48,343 zimetengwa kwa Halmashauri zote nane za Mkoa wa Ruvuma.

Kikao cha Baraza la Ushauri la Mkoa hufanyika kila mwaka kikiwa na lengo la kujadili utekelezaji wa chngamoto katika sekta mabalimbali zikiwemo Afya,Maji,Mamlaka ya Mapato Tanzania ,Elimu nyingine ni Umeme na Ardhi.

Imeandaliwa na kuandikwa na

Jacquelen Clavery

Afisa Habari

Songea DC.

   

 

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa