• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

RC Thomas azungumza na Watumishi Songea DC.

Tarehe ya Kuwekwa: November 25th, 2022

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amewataka watumishi kujenga na kuimarisha mahusiano mazuri katika sehemu za kazi na kufanya kazi kwa kushirikiana baina ya wakuu wa Idara na Watumishi wa chini.

Ameyasema hayo wakati akizungumza na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea katika ukumbi wa mikutano wa Lundusi-peramiho.

RC Thomas amewasisitiza watumishi wa umma kutokua sehemu ya kuhujumu miradi ya maendeleo kwani serikali haitasita kuchukua hatua kwa mtumishi yoyote ambaye anakwenda kinyume na sharia za Utumishi wa umma.

‘’Nawasisitiza muwe wasimamizi wazuri wa miradi ili iweze kukamilika kwa wakati na viwango vinavyokubalika na serikali, hii inaleta motisha hata kwa serikali yetu kuendelea kuleta fedha kwaajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo’’, amesisitiza RC Tomas.

Aidha amewashauri watumishi kujiepusha na mikopo yenye riba kubwa pia wapunguze kuishi maisha feki kwani yanasababisha kuingia kwenye madeni makubwa ambayo ni hatari kwa mtumishi.

Vilevile ameuagiza uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea kuanzisha mashamba ya pamoja (Block farming) na kusisitiza kuwa Serikali inaendelea kuboresha mfumo wa usambazaji mbolea ya ruzuku ili kusogeza jirani na wakulima.

Pia RC Thomas amepiga marufuku uingizaji wa mifugo katika maeneo ya vijiji kwani inaweza leta migogoro kati ya wakulima na wafugaji hivyo amewataka viongozi wa kata na kijiji kuendelea kufanya jitihada za kuondoa mifugo hiyo.

Hata hivyo Mkuu wa Mkoa ameupongeza uongozi wa Halmashauri kwa ubunifu wa vyanzo vipya vya kuingiza mapato na kwa usimamizi mzuri wa miradi ya serikali hii itasaidia Halmashauri kwenda mbele Zaidi.

Akizungumza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Ndugu Neema Maghembe ameahidi kutekeleza maagizo yote yaliyotelewa na Mkuu wa Mkoa.

Amesema ukusanyaji wa mapato katika Halmashauri unaridhisha ambapo kwa mwaka wa fedha 2021/2022 Halmashauri ilikusanyia shilingi bilioni 1.7 sawa na asilimia 115.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa