• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

RC Mndeme atoa maagizo kwa wadau wa kilimo na ushirika

Tarehe ya Kuwekwa: April 13th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme ametoa maagizo kwa viongozi wa Ushirika na wadau wa kilimo kwenda kuhamasisha wakulima kuongeza kasi ya uzalishaji wa zao la soya.

Mndeme ametoa maagizo hayo kwenye mkutano wa tathimini ya wadau wa mazao mchanganyiko yanauzwa kwa mfumo wa stakabathi ghalani kilicho fanyika katika manispaa ya  Songea hivi karibuni.

“Natoa maelekezo kwa wakulima,vyama vya ushirika,vyama vikuu nya ushirika,wafanyabiashara,kamati zinazosimamia minada na wadau wote wanaoshiriki minada kuhakikisha kila mmoja anatimiza wajibu wake ili zoezi la uuzaji na ununuzi wa mazao liweze kufanyika kwa ufanisi na kumnufaisha mkulima wa mkoa wa Ruvuma”,amesema mndeme.  

Mndeme amesema zao la soya kwa msimu wa kilimo 2021/ 2022 limekuwa na soko kubwa ukilinganisha na hali halisi ya uzalishaji wake wa tani 7844 hitaji likiwa tani lakimbili.

Ameongeza kwa kusema wadau wa ushirka na kilimo wahakikishe mkulima hadhulumiwi haki yake nawafuatilie na wasimamie utaratibu wa soko la mfumo wa stakabadhi ghalani na kujiepusha na ubadhirifu wa aina yoyote  ambao unalenga kumwibia mkulima.

Naye Mrajisi  Masidizi wa vyama vya Ushirika wa  Mkoa wa Ruvuma Bumi Musuba amesema maandalizi ya soko kwa mazao yanayouzwa kwa mfumo wa stakabadhi ghalani kwa msimu wa 2021/2022 ambayo ni ufuta ,soya na mbaazi yataendelea kuuzwa kwa mfumo huo  ambao utasimamiwa na Serikali kupitia vyama vikuu vya Ushirika vya  SONAMCU LTD na TAMCU LTD.

Musuba amesema mfumo wa stakabadhi ghalani unafaida kwa wananchi kwavile unaongeza pato la mkulima,Halmashauri zinakukusanya ushuru, kutoa ajira za muda kwa wananchi pamoja na ukusanyaji wa kodi kwa kawa upande wa TRA.

 Kwa upande wake Katibu wa Chama cha Mpinduzi wa Mkoa wa Ruvuma Nuru Ngereja amesema katika kuongeza tija kwenye zao la soya ni vema wakulima wakafikishiwa pembejeo kwa wakati  sanjari na kuwapa elimu na usimamizi utakao msaidi kuvuna mazao mengi.

Japhari Mapunda ni miongozi vya viongozi wa vyama vya msingi vya Ushirika amesema wanatoa shukrani kwa viongozi wa Serikali na Ushirika kwa kupunguza toza za wakulima toka sh.70 kwa kilo hadi sh.35 jambo ambalo litawasaidia kutatua changamo kwenye vyama vyao.

Mkoa wa Ruvuma unatarajia kukusanya na kuuza tani15,437 za ufuta,tani7844 za soya na tani 2889 za mbaazi.

Imeandikwa na

Jacquelen Clavery

Afisa Habari Songeadc

13/04/2021.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa