• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

RAS Ruvuma ahimiza ukamilishaji wa ujenzi wa miradi

Tarehe ya Kuwekwa: August 19th, 2020

Katibu tawala wa mkoa wa Ruvuma steven Ndaki ahimiza ukamilishaji wa ujenzi wa miradi sambamba na utoaji wa huduma

Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma Bw Steven Ndaki amehimiza ukamilishaji wa ujenzi wa miradi ya maendeleo inayojengwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma.

Ndaki amesema hayo alipotembelea na kukagua miradi ya maendeleo inayojengwa katika Halmashauri ya Wilaya Songea hivi karibuni.

Ndaki amesema nimeridhishwa na  ujenzi wamiradi inavyoendelea kujengwa pia kazi ni nzuri  napongeza,dosari ndogo ndogo ambazo zinatakiwa kurekebishwa zirekebishwe.

“Jitihada iongezwe ili miradi ikamilike na ianze kutoa huduma kwa wananchi”,alisema Ndaki.

Ametoa wito kwa wananchi kuanza kupata matibu katika Hosptali ya Wilaya ya Mpitimbi ambayo imeanza kutoa huduma hiyo kuanzia Julai 15 mwaka huu ,badala ya kutembea umbali mrefu na kutumia gharama kwaajili ya kufuata huduma ya matibu katika hospitali ya Mkoa na Peramiho.

Ameongeza kwa kusema katika ujenzi wa miradi ya maendeleo inyotekelezwa ndani ya mkoa kwa njia ya force akaunti swala la uzalendo ni muhumu likapewa kipaumbele kwasababu linalinda maslahi  na uaminifu katika ujenzi na utekelezaji wa mradi husika.

Kwaupande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Bw Simon Bulenganija ameshukuru timu ya ukaguzi kwakukagua miradi na kutoa mapendekezo ambayo yanasaidia kuboresha ujenzi wa miradi hiyo.

Bw Bulenganija amesema jitihada za ukamilishaji wa miradi zitaongezwa na miradi itakamilika na kuanza kutoa huduma kama lengo la serikali linavyoelekeza la utoaji huduma kwa wananchi hasa wanyonge.

Jumla ya miradi nane ilikaguliwa ikiwemo ujenzi wa kituo cha afya cha  Matimira na Magagura, Hosptali ya Wilaya iliyopo Mpitimbi,pamoja na miradi mitano ya ujenzi wa vyoo bora (SWASH) vinavyojengwa  katika shule  za Msingi Mpitimbi, Mkurumusi,Peramiho ,Mapinduzi na Humbaro

Imeandikwa na

JACQUELEN CLAVERY

AFISA HABARI SONGEA DC.

19 /08 / 2020.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa