• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

RAIS SAMIA AIPONGEZA ABASIA YA PERAMIHO KWA MCHANGO WA MAENDELEO NA HUDUMA ZA KIJAMII

Tarehe ya Kuwekwa: September 25th, 2024


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amefanya ziara ya kihistoria katika Jimbo la Peramiho, Mkoa wa Ruvuma, ambako alipokelewa kwa shangwe na maelfu ya wananchi waliofurika katika viwanja vya Abasia ya Peramiho.




Ziara hii ni sehemu ya mikakati ya Rais Samia ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo, kusikiliza kero za wananchi, na kutoa maelekezo kwa viongozi wa mikoa na wilaya.


Katika hotuba yake, Rais Samia alisifu mchango wa Kanisa Katoliki nchini, hususan katika utoaji wa huduma za kijamii kama vile elimu, afya, na maji, ambazo zimekuwa kichocheo kikubwa cha maendeleo ya jamii kwa ujumla. Alilitaja eneo la Kanisa la Peramiho kama la kihistoria, na alionyesha furaha yake kufika hapo.

Rais aliwakumbusha wananchi umuhimu wa kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika tarehe 27 Novemba mwaka huu. Alisisitiza, "Mawaziri wamezungumza sana kuhusu uchaguzi mkuu, lakini mimi natumia fursa hii kuwakumbusha kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa. Lazima tufanye vizuri, wote wenye sifa za kugombea na kupiga kura wajitokeze kwa wingi," alisema Rais Samia huku akihimiza ushiriki wa wananchi.


Aidha, Rais Samia alitoa wito kwa wananchi wa Peramiho kuendelea kudumisha amani, upendo, na utulivu, akieleza kuwa "amani ni msingi wa maendeleo ya nchi yetu."


Mbunge wa Jimbo la Peramiho ambaye pia ni Waziri wa Afya, Mhe. Jenista Mhagama, alimshukuru Rais kwa ziara yake na mchango mkubwa wa maendeleo katika jimbo hilo. Alieleza kuwa tangu Rais Samia aingie madarakani, Jimbo la Peramiho limepata zaidi ya Shilingi Bilioni 49 kwa ajili ya miradi mbalimbali ya afya, elimu, barabara, na maji. "Tunakushukuru sana, Mhe. Rais, kwa kutuletea maendeleo makubwa katika jimbo letu," alisema Mhe. Jenista.


Katika ziara hiyo, Rais Samia alisema serikali itaendelea kuwekeza katika miradi ya maendeleo ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora za kijamii kwa wakati. Ziara hiyo imeacha alama kubwa ya matumaini kwa wananchi wa Peramiho, wakitarajia maendeleo zaidi.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa