• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

NEEMA YATUA MUHUKULU KILIMO BILA KUANGALIA MVUA

Tarehe ya Kuwekwa: October 11th, 2023

Kamati ya siasa ya Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Ruvuma yapongeza ukarabati wa wa skimu ya umwagiliaji iliyopo Muhukulu wakati wa ziara yake iliyofayika  tarehe 9 Octoba 2023 katika Kijiji hicho.

Akizungumza na wataalamu mbalimbali kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Songea pamoja na waandishi wa habari Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Komredi Odo Mwisho ameeleza kwamba mradi huo utakapo kamilika utafungua milango mikubwa ya kiuchumi kwani WAKULIMA watafanya kilimo bila kuangalia kama mvua inanyesha au hainyeshi. Ambapo amesema

" Huu ni moja kati ya miradi mikubwa ambayo inapatikana nchini Tanzania ambao ukamikaji wake utafungua fursa nyingi za kiuchumi hususani kwenye kilimo ambapo wakulima watakao utumia mradi huu watalima muda wote bila kuangalia mvua inanyesha au hainyeshi kwasababu maji ni yakutosha hii yote inaonesha  ni namna gani Raisi wetu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania anawapenda wakulima wa Mkoa wa Ruvuma ndio maana ametenga fedha nyingi sana ili kukamilisha huu mradi hivyo niwaombe ndugu zangu kutoa ushirikiano kwa Mhe Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika kutekeleza miradi ya maendeleo".

"Basi pamoja na mambo mengina napenda kumshukuru Mhe Raisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutekeleza ilani ya Chama cha Mapinduzi kwani kuleta maendeleo kama haya ni moja ya utekelezaji wa Chama chetu, pia kipekee napenda kuishukuru Kamati ya siasa ya Mkoa wa Ruvuma kwa kuendelea kukitangaza vyema Chama cha Mapinduzi kwa kutekeleza ilani ya Chama chetu kwa kusimamia maendeleo ya miradi mbalimbali, pia nimshukuru Mbunge wa Jimbo la Peramiho Jenista Joakim Mhagama kwa ufuatiliaji mzuri wa maendeleo katika Jimbo lake, pia nakushukuru Mkuu wa Mkoa na timu Yako, Mwenyekiti wa Halmashuri na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashuri ya Songea na timu Yako ya utendaji pamoja na Baraza la Madiwani kwa pamoja tunasema kidumu Chama cha Mapinduzi kidumu Chama Tawala".

Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa mradi huo mhandisi anayesimamia mradi huo amesema "Mwajiri wa mradi huu ni timu ya Taifa ya umwagiliaji kutoka makao makuu Dodoma na Mkandarasi ni Muungano yaani Joint venture General Interpises kwa staff ya Limited kutoka Iringa, na thamani ya Mradi huu ni shilingi 986,267,035.00 na mradi unatarajiwa kukamilika Tarehe 21 Januari 2024".

"Ambapo ujenzi wa mradi huu unahusisha vitu vifuatavyo -; ujenzi wa banio, ujenzi wa mfereji wa maji wenye urefu wa km2 na m200, kujenga vivusha maji na barabara yenye urefu wa km2, mpaka sasa tumefikia 57.7%za ujenzi wa mradi huu na malipo ya awali yamefanyika ambapo Mkandarasi amelipwa shilingi 137,361,960.73 ambayo ni sawa na asilimia 31%ya malipo yote.

Nae Mkandarasi ameahidi kukamilisha ndani ya wakati ambapo amesema "Kama mnavyoona tulikuwa na zoezi la uchevushaji wa maji na limekamilika, pia ujenzi wa banio nalo limeisha barabara nayo imekamilika kwa kiasi chake ambapo kw sasa Bado tu kuweka makaravati, kwa ujumla kazi kubwa iliyobaki kwa sasa ni kukamilisha mifereji ya maji na ninaamini mpaka kufikia hiyo Januari nitakuwa nimekamilisha huu mradi"

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa