• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

Mwenyekiti wa Kamati ya Siasa amwagiza DC kuwachukulia hatua za kisheria mafundi viongozi

Tarehe ya Kuwekwa: August 23rd, 2021

Mwenyeki wa Kamati ya Siasa wa Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma Mhe.Nelly Duwe amewa amwagiza Mkuu wa Wilaya ya Songea Mkoani Ruvuma Pololet Mgema kuwachukulia hatua mafundi viongozi  wanaokwamisha utekelezaji wa ujenzi wa miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea.

Mhe.Duwe ametowa maagizo baada ya Kamati ya Siasa ya Wilaya kufanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo hivi karibuni.

Mhe.Duwe ametoa maagizo hayo kufuatia baadhi ya mafundi viongozi kwenda kinyume na mikataba waliopewa ya kujenga miradi ya maendeleo jambo ambalo linakwamisha jitihada Serikali za kuwafikishia huduma wananchi.   

Amesema dhamira ya Serikali ni kuona miradi inayojengwa inakamilika kwa wakati na inatoa fursa na huduma iliyokusudiwa kwa wananchi hivyo mafundi viongozi waliopewa dhamana ya kujenga na kukamilisha miradi ambao wanakiuka utaratibu hawakubariki.

Kwaupande mwingine amemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Neema Maghembe kuakikisha anafuatilia na kusimamia miradi yote inayotakiwa kukamilishwa inakamilika na inatoahuduma kwa wananchi.

Nae Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Mhe Menasi Komba amehaidi kufuatilia na kusimamia  fedha za mapato ya ndani zinatengwa kwaajili ya kukamilisha ujenzi wa miradi inayotakiwa ikamilishwe.

Baadhi ya wananchi wa kata ya Matimira Kijiji cha Matimira wametoa pongenzi za  dhati kwa Serikali kwakuwajengea kituo cha Afya ambacho kimegharimu kiasi cha shilingi milioni 400 kukikamilisha nao waanze kupata huduma ya matibabu na kuepukana na adha ya kufuata huduma hizo umbali mrefu ambapo ujezi wa kituo hiko ulianza mwezi Mei 2020.

Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Songea imetembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo Vituo vya Afya na Zahanati ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa shule za msingi na sekondari na kupokea taarifa ya ujenzi wa mradi wa shule ya sekondari ya Jenista Mhagama inayojegwa Kata ya Parangu Kijiji cha Parangu.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa