• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA RUVUMA APONGEZA UJENZI WA ZAHANATI YA MPITIMBI A.

Tarehe ya Kuwekwa: October 11th, 2023

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Ruvuma Mhe. Komredi Odo Mwisho apongeza maendeleo ya mradi wa ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Mpitimbi A Kata ya Mpitimbi baada ya kutembelea mradi huo mnamo Tarehe 9 Octoba 2023 wakati wa ziara ya kamati ya siasa ya Mkoa wa Ruvuma ikipita kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na ilani ya Chama Cha Mapinduzi.

Alitoa pongezi hizo amewaomba wasimamizi wa mradi hou kuharakisha ujenzi wa Zahanati hiyo ili kupungunza umbali kwa wananchi kufuata huduma za afya kwenye Kijiji jirani kwani kukamilika kwa mradi huo utawapunguzia adha ya usumbufu wa gharama na umbali kwa wananchi wa Kijiji cha Mpitimbi A. Ambapo amesema

"Tunatambua juhududi kubwa zilizofanywa na wananchi wa Kijiji cha Mpitimbi A kwenye kuanzisha mradi huu nami nasema mnastahili pongezi kubwa kwa kujitoa kwenu hivyo serikali ilitambua jitihada zenu na kuamua kuwashika Mkono kwa kutoa Milioni 50 ili kuhakikisha mradi huu unakamilika kwa asilimia miamoja(100%) Rai yangu kwenu ni kuhakikisha fedha hizi zinakamisha mradi huu kwa asilimia zote na wananchi waweze kifurahia huduma bora zitokanazo na Serikali kuu kupitia kwa Raisi wetu Dkt.Samia Suluhu Hassan "

"Mwisho napenda kuishukuru Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya uongozi wa Dkt. Samia Suluhu Hassan Raisi wetu kwa kuona umuhimu wa wananchi wake na kuamua kutoa fungu la fedha kuhakikisha Zahanati hii inakamilika, pia nakushukuru Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma kwa usimamizi mzuri wa miadi ya hapa Mkoani kwako ikiwemo huu wa Zahanati, pia Shukrani zimfikie Mbunge wa Jimbo la Peramiho Jenista Joakim Mhagama kwa kujitoa kwake, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashuri ya Wilaya ya Songea pamoja na timu yake ya utendaji pamoja na Madiwani wote katika kuhakikisha ilani ya Chama cha Mapinduzi inatekelezwa".

Mradi huu wa ujenzi ulianza rasmi mwaka 2017 kupitia nguvu za wananchi na viongozi kwa  kuliona hilo waliwashika Mkono wananchi kwa nyakati tofautitofauti ili kuhakikisha mradi huu unakamilika akiwemo Jenista Joakim Mhagama Mbunge wa Jimbo la Peramiho ambaye alichangia milioni tatu, pia Mwenyekiti wa Halmashuri pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashuri ya Wilaya ya Songea walichangia milioni mbili na lakitano na mwisho Serikali kuu imechangia milioni hamsini ili kukamilisha Zahanati hiyo

Nao wananchi wameishukuru Serikali kwa kuwajali kwani wanasema wanapata taaba ya umbali mrefu kufuata huduma za afya lakini mradi huu utakapo kamilika utawarahisishia sana kwenye suala la huduma za afya hivyo wamesema wanaimani na Serikali yao na wameahidi kutoa ushirikiano.

Mradi huu unatarajiwa kukamilika Tarehe 20 Octoba 2023 na kukamilika kwa mradi huu utapunguza adha ya usafiri kwa wagonjwa kwenda Kijiji cha jirani kufuata huduma za afya.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa