• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MWAMKO wa wananchi kuchanja chanjo ya UVIKO-19 waongezeka Songea DC

Tarehe ya Kuwekwa: September 30th, 2021

Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma wameendelea kuhamasika kuchanja chanjo ya UVIKO-19 baada ya kuelimishwa na kushuhudia madhara mbalimbali yatokanayo na ugonjwa wa UVIKO -19.

“Tumepata hamasa ya kuchanja kupitia elimu mbalimbali zinazotolewa na Wataalam wa Afya ,Viongozi wetu kupitia vyombo vya habari “,Wanasema baadhi ya  wananchi wa Kijijiji cha Liweta.

Laurensia Komba na Emilani Mwingira ni baadhi ya wakazi wa kijiji cha Liweta kilichopo Kata ya Mpandangindo Halmashauri ya Wilaya ya  Songea wakizungumza kwa nyakati tofauti wamesema kwa sasa wananchi wamehamasika kuchanja kutoka na Elimu inayotolewa na Wataalam wa Afya,Viongozi mbalimbali wa Dini,Chama na Serikali na shuhuda za vifo vinavyokana na ugonjwa huo.

Wametoa wito kwa Serikali kuendelea kuwaletea chanjo ya UVIKO -19 kwasababu watu wengi bado hawajapata huduma  ya chanjo na wamehamasika kuchanja kwa hiari  baada ya kupata elimu na kutambua madhara ya ugonjwa ya kiwemo baadhi yao kuwapoteza wapendwa wao kwa vifo na baadhi ya familia kuyumba kiuchumi na kusambaratika.

Kwaupande wake moja ya Wataalam wa Afya Adam Ngunga waliofika kijijini hapo kwalengo la kutoa Elimu na zoezi la kuchanja amesema Serikali kupitia  mpango wahuduma   Shirikishi  na Harakishi ndani ya siku 14 uligawa dozi 2000 kwa Halmashauri hiyo kwa nia ya kuwachanja wananchi wake.

Ngunga amesema dozi hizo zimekuwa chache ukilinganisha na mahitaji halisi ya wananchi katika maeneo mbambali ya  ndani ya Halmashauri hiyo na kusababisha  baadhi ya wananchi kukosa chanjo,hivyo wawe sna subira wakati juhudi nyingine zikifanyika za kuwapelekea huduma hiyo

Naye Mganga Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Jairy Khanga amesema huduma ya Chanjo ya UVIKO-19 itamfikia kila mwananchi mwenye kuhiari kuchanja popotea alipo kwalengo la kupambana na ugonjwa huo huku akitoa msisitizo wananchi kuendelea kuchukua tahadhari ya kujikinga.

Kwa Mkoa wa Ruvuma Halmasahauri ya Wilaya ya Songea imeongoza kwa zoezi la uchanji kupitia mpango maalum wa Serikali wa huduma ya Shirikishi na Harakishi kwa kuchanja zaidi ya asilimia 100 baada ya wananchi kuwa na mwamko mkubwa wa kuchanja na chanjo kutokidhi mahitaji ,hivyokulazimika kuomba chanjo kutoka kwa Mganga Mkuu wa Mkoa.

Halmashauri ya Wilaya ya Songea inajumla ya vituo 37 vya kutolea huduma  za Afya kati ya hivyo vituo vitano havitoi huduma za chanjo kutokana na ukosefu wa miundo mbinu ya kuhifadhia vifaa hivyo  ambavyo ni Matimira,Magagura,Lipaya,Mbingamhalule na Lugagara.

Imeandikwa na kuandaliwa na

Jacquelen clavery

Afisa Habari

Songea DC

  

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa