• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MUHIMBILI YAHUDUMIA WANANCHI 405 SONGEA, 52 WAFANYIWA UPASUAJI WA MACHO

Tarehe ya Kuwekwa: December 30th, 2024


Hospitali ya Taifa Muhimbili imehitimisha kambi maalum ya uchunguzi na matibabu ya ubingwa bobezi wa kwa kuwafanyia uchunguzi na matibabu zaidi wananchi 405 ambapo kati yao 52 wamefanyiwa upasuaji wa magonjwa ya macho ikiwemo upasuaji wa kuondoa mtoto wa jicho.


Kwa mujibu wa Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea, Dkt. Geofrey Kihaule zaidi ya wananchi 27 wamepatiwa miwani kutokana na changamoto za uoni, wengine wamepatiwa matibabu ya kawaida ya macho na mmoja amepatiwa rufaa ya ya kwenda Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa matibabu zaidi.


Dkt. Kihaule ameongeza kuwa pamoja na uchunguzi na matibabu hayo wataalam wa hospitali ya Mtakatifu Joseph wamepata fursa ya kujengewa uwezo na wabobezi hao kwa lengo la kuendelea kuboresha huduma za matibabu ya magonjwa macho katika hospitali hiyo kwa manufaa ya wananchi.


“Napenda kuupongeza uongozi wa Muhimbili kwa kuona umuhimu wa kuwaleta madaktari hawa kutoa huduma katika Halmashauri yetu, uamuzi huu umewapunguzia wakazi wa Songea na maeneo ya jirani umbali na gharama za kwenda Dar es Salaam (Muhimbili) kupata matibabu haya” ameongeza Dkt. Kihaule


Kwa upande wake mwananchi aliyehudumiwa katika kambi hiyo ameishukuru serikali kwa kuwajali wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songe na kuomba utaratibu huo uendelee na kuongeza wigo wa huduma za ubingwa bobezi kwakuwa huduma hizo zinahitajika kwa kiwango kikubwa na wakazi wa Songea.


Hospitali ya Taifa Muhimbili imefanya kambi maalum ya ubingwa bobezi ya uchunguzi na matibabu ya macho Halmashauri ya Wilaya ya Songea, uchunguzi na matibabu yamefanyika katika Hospitali ya Mtakatifu Joseph kwa muda wa siku nne kuanzia Desemba 26 hadi 29, 2024.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa