• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MRAJIS wa ushirika amewataka viongozi wa Ushirika kufika Ruvuma kujifunza mfumo wa stakabadhi ghalani

Tarehe ya Kuwekwa: May 11th, 2021

Mrajis wa vyama vya Ushirika Nchini Dkt Benson Ndiege amewataka Viongozi,wanachama  wa Ushirika na wakulima kuja kujifunza soko la mfumo wa stakabadhi ghalnani mkoani Ruvuma kwasababu Mkoa umefanikiwa katika kusimamia na kuendesha soko hilo.

Dkt Ndiege ametoa kauri hiyo wakati akishuhudia ufunguzi wa soko la pili la mnada wa kitaifa wa mazao yanayouzwa kwa mfumo wa stakabadhi ghalani uliofanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma hivi karibuni.

Dkt Ndiege amesema mkoa wa Ruvuma umefanikiwa katika kuelimisha wakulima na kuwaunganisha pamoja katika soko la mfumo wa stakabadhi ghalani,hivyo amewataka Viongozi,wanachama wa Ushirika na wakulima kufika Ruvuma kujifunza juu ya mfumo huo.

 “Nyie Songea au Ruvuma ni mfano mzuri kwenye mfumo wa stakabadhi ghalani nawapongeza”,amesema Dkt Ndiege.

Amesema mfumo wa stakabadhi ghalani ni mfumo shirikishi kwa wakulima na wafanyabiashara ambao unatoa fursa kwa wakulima kukusanya na kuuza mazao yao kwa pamoja na kutatua changamoto za ukosefu wa soko la uhakika vilevile humpunguzia mnunuzi gharama za ufuatiliaji na uhakika wa kupata mazao yenye ubora.

Amewataka wafanyabiashara kujali maslahi ya wakulima kwa kununua mazao hayo kwa bei ambayo hai mkatishi tamaa mkulima katika kuendelea kuzalisha zao hilo ambalo uzalishaji wake ni mgumu ukilinganisha na mazao mengine.

Kwa upande wake Afisa shughuli wa chama kikuu cha Ushirika cha SONAMCU Zamakanaly Komba amesema katika soko la mfumo wa stakabadhi ghalani wakulima ndiyo mtaji katika kuendesha soko hilo na wanamamlaka ya kukubali au kukata kuuza mazao yao endapo bei inyotajwa kutokuwa na maslahi kwao.

Komba amesema kwa msimu wa kilimo wa mwaka 2020/2021 katika soko la kwanza la mnada jumla ya tani 164 zilikusanywa toka kwa wakulima kupita Vyama vya Msingi vya Ushirika ambapo wakulima walikata kuuza kutokana bei kutowaridhisha ya shilingi 2210 kwa kilomoja.

Kwa upande wa wakulima wamedai bei hiyo ni ndogo wametaka wastani wa bei ianze na shilingi 3000 hadi shilingi 2500 kwa kilomoja ambayo inamaslahi kwao kulinga na gharama za uzalishaji.

Naye afisa kilimo wa Halmashauri ya wilaya ya Songea Hellen Shemzigwa amesema kwa msimu wa kilimo wa mwaka 2021/2022 Halmashauri inatarajia kuuza taani 2600 za ufuta.

Mfumo wa stakabadhi ghalani katika mkoa wa Ruvuma umewaingizia wakulima zaidi ya kiasi cha shilingi bilioni 28 kwa mazao ya ufuta,soya,na mbaazi  katika msimu wa masoko wa mwaka 2020/2021.

Imeandikwa na

Jacquelen Clavery

Afisa Habari

Songea DC. MEI 11,2021

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KULA YAMEANZA SONGEA DC

    April 29, 2025
  • MHE . JENISTA MHAGAMA AZINDUA MADARASA 27 NA VYOO MATUNDU 44, SONGEA DC

    March 16, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa