• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Songea District Council
Songea District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Muundo wa Uongozi
  • Huduma
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Maji
  • Utawala
    • Eneo la Utawala
    • Braza la Madiwani
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
        • Maliasili
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Mawasiliano Serikalini
      • Ardhi
      • Fedha na Uhasibu
    • Vitengo
      • Internal Auditor
      • TEHAMA
      • TASAF
      • Ugavi na Manunuzi
      • Usafi Mazingira na Taka ngumu
      • Mawasiliano Serikalini
      • Maendeleo ya Miundombinu Mjini na Vijijini
      • Mawasiliano Serikalini
      • Sheria
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Albam ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Afya
    • Boost
    • Swash
  • Madiwani
  • Tarafa
  • Fursa za Uwekezaji
  • Shule
    • Shule za Msingi
    • Shule za Sekondari

MRADI WA KUENDELEZA LISHE NA UFUGAJI ENDELEVU WA VIUMBE MAJI KWA WAKULIMA WADOGO WAZINDULIA SONGEA

Tarehe ya Kuwekwa: May 4th, 2024


Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu( Sera Bunge na Uratibu) , ambaye pia ndiye Mbunge wa Jimbo la Peramiho Mhe. Jenista Mhagama, amezindua Mradi wa kuendeleza Lishe na Ufugaji endelevu wa viumbe maji kwa Wakulima wadogo Songea.

Mradi huo ulioko Halmashauri ya Wilaya ya Songea, katika Kata ya Mpitimbi Ulihidhuliwa na Viongozi mbalimbali akiwemo Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Alexanda Mnyeti, Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mhe Ahmed Abbas Ahmed, Mwenyekiti wa CCM Mkoa , Mhe. Oddo Mwisho na Viongozi wengine wa Serikali

Timu ya Wataalamu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Songea Ikiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Mhe. Menans Komba, pia Mkurugenzi Mtendaji walikuwepo kazitaka uzinduzi wa Mradi huo, ikumbukwe kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Songea kata ya Mpitimbi ndipo ulipo Mradi huo wa Ufugaji endelevu wa Viumbe maji.

“Leo tunazindua Shamba darasa ambalo litaenda kuchagiza maendeleo ya tabia nzuri ya biashara na matumizi ya lishe bora kupitia samaki wanaofugwa kwenye mabwawa na miradi itakayofanyika katika halmashauri yetu ya Wilaya ya Songea na Halmashauri nyingine kwa kadri tutakavyoomba

“Serikali imetoa kipaumbele kwenye Sekta ya Kilimo nchini, kupitia mradi wa awamu ya awamu ya pili ya program kuu ya kuendeleza Kilimo, na kama nilivyosema mwanzo Mradi huu ni sehemu ya Miradi hiyo mikubwa tumeamua kutenga Rasilimali fedha. Kama mnavyomuona Rais wetu, anahangaika kukuza mahusiano ya Kidemokrasia katika R zake nne na mabadiliko chanya ya maisha ya watu kwa ujumla wake “

Aidha Mhe Jenista alitoa wito kwa vijana na kina Mama wote wa Mkoa wa Ruvuma hasa Halmashauri ya Songea, kujitokeza kujifunza mradi wa samaki kupitia shamba darasa hilo.

Matangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Usaili Julai 2022 June 22, 2022
  • TANGAZO LA FURSA ZA KAZI KATIKA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA KUHUDUMIA WAKIMBIZI (UNHCR) August 26, 2022
  • TANGAZO LA KAZI October 13, 2022
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021. December 18, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAAFISA HABARI KIMEMALIZIKA KWA KUWEKA MAKUBALIANO ENDELEVU KWA MASLAHI MAPANA YA NCHI

    May 24, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA DKT. SAMIA, WANATEGEMEA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA UBINGWA BOBEZI KATIKA HOSPITALI YA HALMASHAURI SONGEA

    May 21, 2025
  • MKIMBIZA MBIO ZA MWENGE KITAIFA, AIPONGEZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    May 11, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SONGEA DC, LIMEMSHUKURU MHE. RAIS NA WAZIRI WA AFYA KWA KUIHESHIMISHA HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA

    April 29, 2025
  • Ona Zote

Video

NGOMA YA LIZOMBE
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Tovuti ya Mkoa wa Ruvuma
  • Tovuti ya Manispaa ya Songea
  • Tovuti ya Halmashauri ya Mji Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Mbinga
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Namtumbo
  • Tovuti ya Halmashauri ya Wilaya Tunduru
  • Tovuti ya Halmashauri ya Madaba
  • Tovuti ya Halmashauri ya Nyasa

Tovuti Muhimu

  • Utumishi wa umma
  • Baraza la mitihani la Taifa
  • National Website
  • Tamisemi
  • Sekretarieti ya ajira
  • Tovuti kuu ya serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Ramani ya Maeneo

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Songea

    Anuani ya Posta: P.o.box 995, Songea

    Simu: 2602320 / 2602176

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: dedsongea@songeadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2017 songeadc.go.tz. Haki imehifadhiwa